Smarter
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 527
- 110
Wakubwa,
Natafuta mtu alie na office atakaekubali ku-share office na kampuni yangu. Mimi ninahitaji office table na kiti tu. Niko Arusha office location iwe close to City Center. niko tayari kushare costs. tafadhali alie na interest kusaidia pia tuutazungumza kuona ni jinsi gani nae atafaidika kwa msaada huu, zaidi ya kuchangia costs. Ni PM kama uko tayari and uko Arusha.
Natafuta mtu alie na office atakaekubali ku-share office na kampuni yangu. Mimi ninahitaji office table na kiti tu. Niko Arusha office location iwe close to City Center. niko tayari kushare costs. tafadhali alie na interest kusaidia pia tuutazungumza kuona ni jinsi gani nae atafaidika kwa msaada huu, zaidi ya kuchangia costs. Ni PM kama uko tayari and uko Arusha.