Majoja
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 612
- 186
Nimemsikia Ndugu Shamhuna akilieleza Baraza la Wawakilishi Zanzibar , kuwa suala la mafuta ni la uchumi wa zanzibar na halina uhusiano na muungano.
Kwa hiyo litatolewa katika shughuli za muungano.
Kimsingi sipingi kujiondoa Zanzibar katika muungano lakini, najiuliza ikiwa suala la mafuta si la muungano je ni kwa nini Serikali ya Muungano kupitia TANESCO wanaendelea kusaidia uchumi wa Zanzibar kwa kuwapa umeme wa BURE!
Haya matamshi ya Shamhuna yana dalili za kihuni tu ndani yake, Zanzibar kama serikali itoe tamko tu la kujitoa muungano tujue moja , si haya matamshi yasiyo na mbele wala nyuma.
Kwa hiyo litatolewa katika shughuli za muungano.
Kimsingi sipingi kujiondoa Zanzibar katika muungano lakini, najiuliza ikiwa suala la mafuta si la muungano je ni kwa nini Serikali ya Muungano kupitia TANESCO wanaendelea kusaidia uchumi wa Zanzibar kwa kuwapa umeme wa BURE!
Haya matamshi ya Shamhuna yana dalili za kihuni tu ndani yake, Zanzibar kama serikali itoe tamko tu la kujitoa muungano tujue moja , si haya matamshi yasiyo na mbele wala nyuma.