Shamba linauzwa hekari 8

jubilant

JF-Expert Member
Feb 16, 2009
305
306
Shamba / Eneo linauzwa hekari 8.
Lipo
Wilaya : Kisarawe
Kata : Msimbu
Kijiji : Mwanzo Mgumu

Kuna mto wa msimu unapita mpakani mwa shamba
Kutokea chanika stand nauli ya daladala ni Tsh 2000 mpaka kijijini mwanzo Mgumu na ni dakika 10 kutembea mpaka shambani
Barabara ipo mpaka shambani.
Linafaa kwa kilimo
Kuna nyumba ya room 1
Na matank 4 ya maji ya Lita 1000
Lina hati ya kijiji

Bei : Milioni 10.
Mawasiliano
Pm kwa taarifa zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom