Shamba / Eneo linauzwa hekari 8.
Lipo
Wilaya : Kisarawe
Kata : Msimbu
Kijiji : Mwanzo Mgumu
Kuna mto wa msimu unapita mpakani mwa shamba
Kutokea chanika stand nauli ya daladala ni Tsh 2000 mpaka kijijini mwanzo Mgumu na ni dakika 10 kutembea mpaka shambani
Barabara ipo mpaka shambani.
Linafaa kwa kilimo
Kuna nyumba ya room 1
Na matank 4 ya maji ya Lita 1000
Lina hati ya kijiji
Bei : Milioni 10.
Mawasiliano
Pm kwa taarifa zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Lipo
Wilaya : Kisarawe
Kata : Msimbu
Kijiji : Mwanzo Mgumu
Kuna mto wa msimu unapita mpakani mwa shamba
Kutokea chanika stand nauli ya daladala ni Tsh 2000 mpaka kijijini mwanzo Mgumu na ni dakika 10 kutembea mpaka shambani
Barabara ipo mpaka shambani.
Linafaa kwa kilimo
Kuna nyumba ya room 1
Na matank 4 ya maji ya Lita 1000
Lina hati ya kijiji
Bei : Milioni 10.
Mawasiliano
Pm kwa taarifa zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app