frankmweka
New Member
- May 9, 2017
- 1
- 0
Shamba linauzwa lipo mpakani mwa Arusha na Manyara, lina ukubwa wa heka 180 linauzwa lote huduma ya umeme ipo maji mabomba yameshapita lakini mwisho wa eneo kuna mto umepita na shambani kuna camp imetengenezwa pia.
Kutoka Arusha mpaka shambani km49 unapitia njia ya Oljoro eneo linaitwa Oljoro namba 5.
Heka moja inauzwa 1 million.
Serious business 0629194102
Kutoka Arusha mpaka shambani km49 unapitia njia ya Oljoro eneo linaitwa Oljoro namba 5.
Heka moja inauzwa 1 million.
Serious business 0629194102