Kitope
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 236
- 58
Heshima wakuu, Nina kashamba kangu kwenye ukubwa wa takriban Eka 8. maeneo ya Mwasonga kigamboni. Lina rutuba nzuri na limesafishwa lote. Kuna maji na vifaa vidogo vidogo vya kilimo. Kama kuna mwenye nia ya kujishughulisha karibuni. Nia yangu kubwa ni kwamba shamba litumike. Mwenye mbavu na mahitaji ya shamba la kujishughulisha anakaribishwa sana. Tafadhali ni PM humu kama kuna swali lolote ama kwa maelezo zaidi.
Natanguliza Shukrani zangu za dhati.
Natanguliza Shukrani zangu za dhati.