2025 tunawag'oaCCM ni cartel kama Sinaloa ya Mexico
Na Mbowe huyu huyu au mtambadilisha?2025 tunawag'oa
Kwani Makonda wamemtoa kwenye uenezi tena?Hapo kwa Dahuu ndio nimepasuka mbavu. Kweli CCM inafuga danguro. Wamrejeshe Makonda kazini.
Usikute DCB ya kwao ya kufichia hela za kununua wanachama mkuu!!Mwananchi gani ana hamu yakuisikiliza CCM ? . Kwanza nendeni mkalipe Deni la DCB, shauri yenu
Mbowe hatakiwiNa Mbowe huyu huyu au mtambadilisha?
Nani anatakiwa sasa. Mtaje hapa anayetakiwaMbowe hatakiwi
Usinitie majaribuniNani anatakiwa sasa. Mtaje hapa anayetakiwa
Kamanda hautakiwi kuwa muoga.Usinitie majaribuni
Kidumu chama TawalaKidumu Chama cha Mapinduzi
Ila huyu Mwashambwa kawa mwiba mkali kwa CHADEMA tawi la JF.Ila hata Kama CCM imechoka itamteua Lucas Mwashamba kwenye kitengo gani?. Lazima tuwe wa kweli. Labda ateuliwe kwenye kitengo Cha kuosha na kutunza mbwa wa mawaziri.
Tunakushukuru sana kwa kuendelea kutupatia taarifa za mambo mazuri yanayoendelea kwenye chama pendwa CCM. Hakika unakitendea haki chama chako cha watoa taarifa. Endelea na moyo huohuo wa kutuhabarisha kuhusu CCM.Hebu angalia mchango wa hawa halafu fananisha na kipara kipya au Kamanda Asiyechoka
View attachment 2846603
Hawa eti wameteuliwa kwenye Jumuiya ya Wazazi , huku Magonjwa Mtambuka na Lucas mwashambwa wametoswa !
Hata hivyo sisi wengine tulishaonya mapema sana kwamba CCM ina wenyewe, lakini hatukueleweka.
========
Shafii Dauda ateuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Michezo, utamaduni na Mazingira ya Jumuiya ya wazazi ya CCM mkoa wa Dar es Salaam, leo Baraza la wazazi mkoa laridhia uteuzi wa wa mjumbe huyo, baraza liliofanyika chini ya Mwenyekiti ced Khadija Ally Said katika ukumbi wa Iddi Nyundo manispaa ya Temeke na Mgeni Rasmi akiwa Prof Adolf Mkenda Waziri Wa Elimu Sayansi na Teknolojia.
Pia baraza limemteua Husna Abdul maarufu kama Dahuu kuwa mjumbe wa kamati ya habari na mawasiliano ya Jumuiya ya wazazi mkoa wa DSM.
#BringBackMakondaKwani Makonda wamemtoa kwenye uenezi tena?
Sema kweli! Makonda haonekani?#BringBackMakonda