Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,447
- 7,832
Ahmed Shabiby ameitaka Serikali kutafuta dola bila kujali watu watasema nini, Shabibi amesema ingekuwa ni yeye angekopa dola bilioni moja kukabiliana na uhaba wa dola nchini na kuziingiza kwenye mzunguko. Shabiby amesema dola bilioni moja ni kitu kidogo sana kwa Serikali kwani inakusanya trilioni 2.
Shabiby amesema Serikali inatakiwa ikiamua kitu imeamua kwasababu inao wataalam wa kutosha na isisikilize maneno ya nje yanayosemwa na watu kuhusu kukopa.
Shabiby amesema Serikali inatakiwa ikiamua kitu imeamua kwasababu inao wataalam wa kutosha na isisikilize maneno ya nje yanayosemwa na watu kuhusu kukopa.