Shaaban robert na uongozi wa tanzania.

MAKOLE

JF-Expert Member
Feb 5, 2012
618
280
Kama ningekuwa na uwezo wa kushawishi, ningeishawishi serikali iingize kozi ya maandishi ya Shaaban Robert katika mtaala wa o level na A level ili vijana wafahamu namna gani SR aliweza kuuona uongozi wa Tanzania ya leo katika miaka ya 1945 kupitia maandishi yake
 
speaking of kazi za SR, its been a long time sasa natafuta kitabu chochote cha SR kindle edition sijaambulia chochote, hivi kunani nguli mahiri kama huyu kazi zake zinakuwa hazipatikani? tunashindwa hata kuenzi kazi za waandishi wetu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom