MAKOLE
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 618
- 280
Kama ningekuwa na uwezo wa kushawishi, ningeishawishi serikali iingize kozi ya maandishi ya Shaaban Robert katika mtaala wa o level na A level ili vijana wafahamu namna gani SR aliweza kuuona uongozi wa Tanzania ya leo katika miaka ya 1945 kupitia maandishi yake