Seriously: Natafuta mwenza!!!

ngoshwe

JF-Expert Member
Mar 31, 2009
4,131
931
211Ib0sITcwAAAABJRU5ErkJggg==
mchumba.jpg
 
nenda tandika wekeza utakuwa pwaa
Conquest-ubani auliwi kama pipi
 
Nimecheka sana, mhh sidhani kama utapata mwenza, hilo zigo mbona shughuli. Lazima ukimbiwe, ama kweli biashara matangazo.
 
Nimecheka sana, mhh sidhani kama utapata mwenza, hilo zigo mbona shughuli. Lazima ukimbiwe, ama kweli biashara matangazo.
Hili suala sio la kucheka,binadamu tuko tofauti sana!!!Kuna wengine wanapenda na wanalilia hata zaidi ya hiyo!!kwani wanawake huwa wanajua saizi ya mtu anapotoka na njemba kwa mara ya kwanza???ukikutana nayo chumbani huna namna ni kuridhia tu
 
ee bwana e!hiyo ni tango au,kimsingi kwa alivyo na anavyoonekana hawezi pata,labda uifungie juu na kamba isionekane
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom