Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,059
hahaha...lol, feis buku...mbona umetuzia kesi? angalia PM zisianze kuflow kwetu!!Humu wapo wengi ngoja waje ila rejao,fingafinga hao ndo the most resiaz!!
hahaha...lol, feis buku...mbona umetuzia kesi? angalia PM zisianze kuflow kwetu!!Humu wapo wengi ngoja waje ila rejao,fingafinga hao ndo the most resiaz!!
wewe Michelle, TB mwenyewe hapo mbona karidhika ....watakuchangia shauri yako ,wewe jidai unatoa ushauri.Nampa pole sana TB, endelea kuwapa...kwa raha zako,ila niachie TB,please.....!!
Hakuna serious man dunia hii, unatakiwa wewe uwe serious ili huyo mwanamme awe serious
habarini wana jf,kutokana na kila cku wanaume kuumiza wanawake nimeamua kutumia fursa hiii kumtafuta serious man ambaye atakuwa na hekima maarifa ya maisha na awe mcha mungu!welcom atakaye kuwa serious ntampa contact![/QUOTE
Labda yupo lakini hajitambui km ni serious man hebu toa sifa/vigezo vya "serious man"
Angalia hao waumizaji hata humu hawakosekani maana ni wale wale unaowaona uraiani.
How can he be found then?
Mimi simchi Mungu lakini moral compass yangu inanitaka nitende mema bila kuogopa kuchomwa moto na Mungu siku ya mwisho. Na ya kwako iko based on kuogopa moto, hivyo yaweza kuwa moral fiber yangu ni ya ukweli zaidi. Je nina qualify? Kuhusu hekima na maarifa kwa sasa sina mashine ya kupimia, tukikutana utanipima na mashine yako we mwenyewe. Unasemaje?...atakuwa na hekima maarifa ya maisha na awe mcha mungu!
Mfano wewe....restructure!!
Why speak on beahave???
Leave Leo to ask him and not you!!
What on earth are you talking about?
Indecipherable mumbo jumbo.
habarini wana jf,kutokana na kila cku wanaume kuumiza wanawake nimeamua kutumia fursa hiii kumtafuta serious man ambaye atakuwa na hekima maarifa ya maisha na awe mcha mungu!welcom atakaye kuwa serious ntampa contact!
poor syntaxIndecipherable mumbo jumbo.
Najaribu kuconnect the dot..................lakini naona .........................mweeehhhh........................Loreen!!!!!!!
How can he be found then?
Utamjuaje aliye serious.
Kwa PM.