serious man to build a family!

Loreen

Senior Member
Dec 24, 2011
110
32
habarini wana jf,kutokana na kila cku wanaume kuumiza wanawake nimeamua kutumia fursa hiii kumtafuta serious man ambaye atakuwa na hekima maarifa ya maisha na awe mcha mungu!welcom atakaye kuwa serious ntampa contact!
 
Niko serious mimi niko tayari nimeamua kukuambia hapa mbele ya kadamnasi kabla hata ya kukuPM naomba unifikirie
 
Angalia hao waumizaji hata humu hawakosekani maana ni wale wale unaowaona uraiani.
 
Tatizo wanaojitangaza hapa JF wengi wao viwango vya kawaida mno.
Hebu jinadi
OTIS
 
loreeen umeona eeeh
ungewekeza toka zamani yote haya yasingekukuta ,ungehamia tu upande wa pili kilaiini,
next time uhakikishe benchi kuna wawili watatu.
we ni kuingiza tu kitu uwanjani majeruhi yakitokea
 
loreeen umeona eeeh
ungewekeza toka zamani yote haya yasingekukuta ,ungehamia tu upande wa pili kilaiini,
next time uhakikishe benchi kuna wawili watatu.
we ni kuingiza tu kitu uwanjani majeruhi yakitokea

Smile nilitaka kurusha kete kwako ila kwa hiyo legacy yako imeniogofya kweli...lol
 
How can he be found then?

There is no one definitive way but definitely this is not the way.

You can't just drop some detail starved one liners and expect to get serious candidates.

Unless maybe you live in wonderland and not realville.
 
loreeen umeona eeeh
ungewekeza toka zamani yote haya yasingekukuta ,ungehamia tu upande wa pili kilaiini,
next time uhakikishe benchi kuna wawili watatu.
we ni kuingiza tu kitu uwanjani majeruhi yakitokea
mmmmmmmmmh! toka jana nakuomba unisajili ,bado nasubiri pm yako.
 
Kheee....mara hii umeishapona kuumizwa mara mbili??...huyo watatu sasa unaemtafuta humu ndio atakufanya ''msukule'' kabisaaa, au ndio unawinda (hunted) mnyonge wako wa kumning'iniza?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom