Nimefanya uchunguzi kuhusu sekta ya uwekezaji nchini, nimegundua kuwa kwa kiwango kikubwa tunawalaumu wawekezaji lakini serikali yetu ndio inalea ubovu huu watu wanahamishwa ovyo katika maeneo kupisha wawekezaji, na wawekezaji wanawafanyia watanzania vitendo vya kikatili wakisaidiwa na serikali. Ifike mahali serikali iangalie matatizo haya na iijrekebishe.
UKATILI WA SERIKALI YETU TUONE KWENYE STAR TV LEO SAA 4:30 USIKU DIRA YA MNYONGE. TUNAPELEKA CHAKULA SOMALIA LAKINI NDANI YA NCHI YETU WATU WANAKUFA NJAA. JE NI BUSARA? WANA JF ANGALIENI STAR TV LEO MUDA NILIOWATAJIA, TUPEANE MAONI.
UKATILI WA SERIKALI YETU TUONE KWENYE STAR TV LEO SAA 4:30 USIKU DIRA YA MNYONGE. TUNAPELEKA CHAKULA SOMALIA LAKINI NDANI YA NCHI YETU WATU WANAKUFA NJAA. JE NI BUSARA? WANA JF ANGALIENI STAR TV LEO MUDA NILIOWATAJIA, TUPEANE MAONI.