Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Mie huwa nasema watu humu JF sio great thinkers at all, ni Great Tanker. Kwa mujibu wa Takwimu za TRA mapato mengi hukusanywa mwezi March, June, Sept. na Dec. Hili linatokana na makampuni mengi kulipa zile Quarterly Provisional Tax kutokana na sheria ya kodi Income Tax Act No. 11 ya 2004. Kwa hiyo ni kweli kabisa hizo pesa zimekusanywa na mfanye tafiti sio kujibu humu kibubusa tu
Kama usemalo ni kweli mbona tunaelezwa mwezi january???? wewe ndiyo una matatizo Quarter ya kwanza umesema ni march je huu mwezi gani.Tunajadili makusanyo ya january mjomba.Fikiri kabla hujaandika