The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,143
Hii ndio taarifa ya motomoto..
=======
Serikali imeteua timu ya wataalam kufanyia kazi mkanganyiko wa tozo kwenye miamala ya fedha za simu na benki. Waziri Mwigulu Nchemba akiwa Tarime mkoani Mara kwenye mkutano wa hadhara amesema Serikali itaendelea kutoza tozo hizo lakini itafanya mabadiliko kuakisi mapendekezo ya chama tawala.
Wataalam wanaangalia namna bora ya kukusanya mapato na watakuja na 'njia rafiki zaidi' kwenye namna ambayo itajali maslahi ya watanzania. Alisema waziri Mwigulu
=======
Tarime. The government has appointed a team of experts to work on the controversial levies on electronic money transactions, the Minister of Finance and Planning said yesterday.
Dr Mwigulu Nchemba told a public rally Sirari, Tarime District, that the government would continue charging the levies on electronic money transfers and other taxes, noting, however, that some changes will be effected to reflect the recommendations of the ruling party on the matter.
“Following the party’s recommendations, the government has appointed a team of experts which has already started undertaking a comprehensive analysis of the matter,” he said, and urged Tanzanians to be patient.
The experts are looking at the best way of collecting the revenue.
Dr Nchemba said the team of experts will then come up with “the most friendly way” of collecting the revenue in a manner that will put into consideration the interests of Tanzanians.
SOURCE: The Citizen
=======
Serikali imeteua timu ya wataalam kufanyia kazi mkanganyiko wa tozo kwenye miamala ya fedha za simu na benki. Waziri Mwigulu Nchemba akiwa Tarime mkoani Mara kwenye mkutano wa hadhara amesema Serikali itaendelea kutoza tozo hizo lakini itafanya mabadiliko kuakisi mapendekezo ya chama tawala.
Wataalam wanaangalia namna bora ya kukusanya mapato na watakuja na 'njia rafiki zaidi' kwenye namna ambayo itajali maslahi ya watanzania. Alisema waziri Mwigulu
=======
Tarime. The government has appointed a team of experts to work on the controversial levies on electronic money transactions, the Minister of Finance and Planning said yesterday.
Dr Mwigulu Nchemba told a public rally Sirari, Tarime District, that the government would continue charging the levies on electronic money transfers and other taxes, noting, however, that some changes will be effected to reflect the recommendations of the ruling party on the matter.
“Following the party’s recommendations, the government has appointed a team of experts which has already started undertaking a comprehensive analysis of the matter,” he said, and urged Tanzanians to be patient.
The experts are looking at the best way of collecting the revenue.
Dr Nchemba said the team of experts will then come up with “the most friendly way” of collecting the revenue in a manner that will put into consideration the interests of Tanzanians.
SOURCE: The Citizen