leticiabenson
New Member
- Jun 25, 2016
- 3
- 0
Hivi wamechukua..mwisho three ya ngapiii
Wakuu aliefanikiwa kuidownload hio list anibonyezee kwa email tafadhali
Mama,na ww umeapply huko au?Uwalimu Wa shule za msingi now wanatagaza lini
ingia kwa hii blog www.mkuutaaluma.blogspot.com wameweka iliyo full katika pdfManaake naona server ya hawa jamaa iko down
Mkuu usidanganyike,ufaulu wa Advance kwa shule za serikali ni juhudi binafsi. Kila shule ni nzuri,akapige msuli tu! Physics inahitaji msuli Sana.pugu PCM hali ipoje kwa sasa
vyuo vya ufundi wamechanganya humohumo kwa hiyo link...Jamani naombeni mnijuze majina ya waliochaguliwa vyuo vya ufundi tunaangalizia wapi maana kwenye hiyo link hamna
Mara nyingi hawaweki. Unasubiri kutumiwa kwa posts kupitia anuani uliyoandika kwenye self form. Ni shule chache Sana huweka joining instructions online.Uwalimu Wa shule za msingi now wanatagaza lini
Mkuu hao wote hawaonekani kwenye list. Labda hawajapangiwa.naomba waungwana mnisaidie kutafuta jina la mdogo wangu anaitwa JOHN JOSEPH Shule atokayo Bulela
mwingine ELIFURAHA J MASEGA SHULE ATOKAYO NYAKASUNGWA
HUYO NI CHUO CHA UFUNDI, ELE ni ELECTICAL ENGENEERINGWakuu ELE ndo combination gan?
wengine cm hazina uwezo tafadhali naomba uniangalie mdogo wangu jina la shule ni USAGARA SECONDARY SCHOOL namba S.0345 namba yake S.0226 jina lake ni GWALUGANO HUSSA HAJJ
majina yapo yote, au kama bado hujafanikiwa kuyaona yote, tembelea www.mkuutaaluma.blogspot.com wameweka majina yote yapo katika mfumo wa pdfWameyatoa katika mtindo ambao haueleweki coz majina kama vile hayapo yote
, mpe hongera sana amepata CBN Longido sec.dah! tobaa embu tafadhali naomba mniangalie mdogo wangu kama amepata nafasi GWALUGANO HUSSA HAJJI shule ni USAGARA SECONDARY S.0345 namba yake 0226
majina mbona yapo yote...Majina siyo yote nadhani, kuna shule kibao kama Pugu, Mzumbe, Tabira Boys/Girls Sengereme etc hawajaziweka kwenye kipengele cha shule atokayo
Asante mkuu kwa kumuangalia ahsante sana je una ufahamu wowote kuhusu hiyo combamepata
, mpe hongera sana amepata CBN Longido sec.
Weka jina la shule atokayo nikusaidie mkuuWakuu msaada s4279/0029