The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 7,382
- 8,437
Hatimaye maneno yawa kweli,ahadi yatimizwa ni ya ujenzi wa Bandari Mpya na kubwa ya Bagamoyo.
Hongera sana awamu ya 6,maneno kidogo vitendo vingi.
Halima Okash, Mkuu wa Wilaya Bagamoyo amesema
"Mradi wa Bandari ya Bagamoyo ambao unatarajiwa kujengwa mpaka sasa tumeshapokea zaidi ya Bil. 40 kwa ajili ya ujenzi wa Bandari yetu mpya ya Bagamoyo. Kuanzia mwezi wa nane au wa sita tutaanza ujenzi wa Bandari yetu ya Bagamoyo ambayo itafungua fursa kwa wawekezaji mbalimbali kwenye eneo hili"
Pia soma:
- Serikali kuanza rasmi ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo Septemba 2023
Hongera sana awamu ya 6,maneno kidogo vitendo vingi.
Halima Okash, Mkuu wa Wilaya Bagamoyo amesema
"Mradi wa Bandari ya Bagamoyo ambao unatarajiwa kujengwa mpaka sasa tumeshapokea zaidi ya Bil. 40 kwa ajili ya ujenzi wa Bandari yetu mpya ya Bagamoyo. Kuanzia mwezi wa nane au wa sita tutaanza ujenzi wa Bandari yetu ya Bagamoyo ambayo itafungua fursa kwa wawekezaji mbalimbali kwenye eneo hili"
Pia soma:
- Serikali kuanza rasmi ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo Septemba 2023