Jamii Opportunities
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 4,443
- 1,389
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Makatibu Wakuu wa Wizara, Watendaji Wakuu wa Idara zinazojitegemea, Watendaji wakuu wa Mamlaka/Wakala za Serikali, Makatibu Tawala wa Mikoa, Wakurugenzi wa Halmashauri za Jiji/Manispaa/Miji na Wilaya anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi Mia Tatu Sabini na Mbili (372) kama
zilivyoainishwa katika kwenye kiambatisho hapo chini.
zilivyoainishwa katika kwenye kiambatisho hapo chini.