Ni jambo la aiubu kwamba serikali hii ya hapa bongo imeshindwa kuokana na aina moja ya pesa na kubaki na nyingine. Kinachokera zaidi ni kwamba pesa ambazo ziliingizwa katika mzunguko kama mbadala, hazina viwango (zingatia noti ya shilingi 500). Hii iko wapi kwingine zaidi ya bongo? Vipi athari zake kiuchumi? Its very sad.