babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,221
- 3,167
Nimesoma kule kwa Ankal waziri wa nishati na madini William Ngeleja ametia saini mkataba na Kampuni ya Ophir wa utafutaji gasi na mafuta ambao utaligharimu dola bilioni 7.
Ophir Energy ambayo shareholder mkubwa ni Mittal, ilisajiliwa U.K 2004. Mwaka jana katika vitabu vyao vya mahesabu vilikuwa na cash 135milioni hakuna deni.
Dola bilioni 7 ni sawa na bajeti yetu 2010/2011.
Kuna mtu yeyote ambaye anaweza kuupata huo mkataba akatuwekea hapa? Tujue kama tumeuziwa mbuzi kwenye gunia kama mikataba mingine ya madini au ndiyo mambo yataanza kuwa tambarare.
Ophir Energy ambayo shareholder mkubwa ni Mittal, ilisajiliwa U.K 2004. Mwaka jana katika vitabu vyao vya mahesabu vilikuwa na cash 135milioni hakuna deni.
Dola bilioni 7 ni sawa na bajeti yetu 2010/2011.
Kuna mtu yeyote ambaye anaweza kuupata huo mkataba akatuwekea hapa? Tujue kama tumeuziwa mbuzi kwenye gunia kama mikataba mingine ya madini au ndiyo mambo yataanza kuwa tambarare.