Entim
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 4,021
- 2,253
Mkuu nashukuru kwa taarifa hii muhimu, hongera sana kwa Dr Kigwangala, serikali ya awamu hii inafanya kazi kwa weledi, sijawahi ona duniani kote ma mmbumbumbu wakijitangaza na kujitukuza kama wanavyofanya wanganga wa kienyeji hapa Tanzania, wote wanajificha kwenye mwavuli wa tiba mbadala and %&$t hivi tiba mbadala gani hujui anatomy na physiology ya mwanadamu?
Dawa moja inatibu kisukari, pressure, ukimwi, ulcers, sukari type 2, figo na nguvu za kiume.... where in hell is this even possible?
Pongezi sana Dr Kingwangala na wizara ya afya, kwa muda huu mfupi tunaweza sema kuwa nchi imepata viongozi
Vipi kuhusu haya mabandiko ya bi ndembo, kinyaunyau, maji marefu, nk?