Serikali imepiga marufuku miradi inayohusisha utoaji wa vilainishi kwa mashoga kama njia ya kukinga kundi hilo na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU).
Akizungumza katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kagera baada ya kuzindua wodi ya wazazi, Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema suala hilo halikubaliki na ni kukiuka miiko na maadili ya Watanzania.
Amesema mashirika yasiyo ya Kiserikali yanaweza kutumia njia nyingine mbadala za kudhibiti maambukizi ya Ukimwi na siyo kutoa vilainishi ambavyo kwa upande wa pili vinaweza kuwa vinachochea tatizo hilo.
Awali, akizungumza katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera, waziri huyo amesema kuwa Serikali iko mbioni kuandaa muswada wa sheria utakaowasilishwa bungeni ili kutunga sheria itakayomlazimisha kila mwananchi kuwa na bima ya afya.
Chanzo: Mwananchi
Au kimbo haahahahhaDaaah kaoge kawaponza wenzake,itabidi waanze kutumika korie
Unafiki mkubwa kabisa huu si wawaambie hao wafadhili na kile kitengo pale Muhimbili kifungwe?Serikali imepiga marufuku miradi inayohusisha utoaji wa vilainishi kwa mashoga kama njia ya kukinga kundi hilo na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU).
Akizungumza katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kagera baada ya kuzindua wodi ya wazazi, Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema suala hilo halikubaliki na ni kukiuka miiko na maadili ya Watanzania.
Amesema mashirika yasiyo ya Kiserikali yanaweza kutumia njia nyingine mbadala za kudhibiti maambukizi ya Ukimwi na siyo kutoa vilainishi ambavyo kwa upande wa pili vinaweza kuwa vinachochea tatizo hilo.
Awali, akizungumza katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera, waziri huyo amesema kuwa Serikali iko mbioni kuandaa muswada wa sheria utakaowasilishwa bungeni ili kutunga sheria itakayomlazimisha kila mwananchi kuwa na bima ya afya.
Chanzo: Mwananchi
nimeishia kucheka tu umetishaBasi usilie lie mtapewa tu. Sawa?
We hukumsikia yule shostito wa Zamaradi siku ile kwenye Take One?Kumbe walikuwa wanapewa hadi mafuta??
Basi usilie lie mtapewa tu. Sawa?
Kuna wakinamama wengine hawana majimaji ya uke ya kutosha na wengine wanapenda kutumia lakini zote za voda na tigoKwani wanandoa huo ni ruksa?
Jamaa ameshawajibu kuwa msililie mtapewa tu achaneni na hiyo olive oil mtachubuka bureWatatumia Olive Oil mafuta ya massage
DuhKuna wakinamama wengine hawana majimaji ya uke ya kutosha na wengine wanapenda kutumia lakini zote za voda na tigo