Elections 2010 Serikali yafadhili kampeni za CCM

Gazeti la Mwanahalisi la leo (August 11-17) limetoa taarifa ya Ikulu kufadhili kampeni za CCM kwa kuchapisha fulana na picha ya Rais. Sijui hii ni EPA nyingine, sina uhakika. Naomba tujadili.....

Mzeewapori
 
Kufanya deal ili upate faida bila kutoa jasho. (Forgery/ falsification)



Thanks! Kwa vile mara ya kwanza nilisikia juu ya mafuta nikafikiri ni kuchanganya (miscible ingredients). Sasa leo nikaona linatumika kwenye mambo ya Fedha. Natumaini umenipa jibu sahihi.
 
Mafisadi wanazidi kuumbuka. Naomba mwenye soft copy aturushie tupate kujadili kwa kina.
 
... Haya, Mr Hosea, kama una ubavu, ingia kwenye hili na tutarajie watu wanasimama kizimbani kabla ya October 31. Huna ubavu.


jamaa yupo kwenye nafasi ya utii kwa bosi wake hawezi kumshitaki na si kosa lake.
wenye uwezo huo ni wananchi. mwenye macho haambiwi tazama.
 
Nahisi mhariri atakuwa na bonge la back up yaani" evidence " kama hana hapo sasa yataibuka mengi.
 
WE NEED THE CHANGE IN OUR COUNTRY, THE CHANGE THAT WILL PUT OUR COUNTRY IN THE WORLD, siyo kama sasa tunajulikana kwa mlima kilimanjaro tu, wakato mwingine kujitambulisha mpaka uanzie kenya jamani! Napata shida mimi hapa nilipo. watu hawaijui Tanzania wanaijua Kenya tu, hapa ni kupiga chini CCM harafu warudishe pesa yote ya umma.

Hakuna kuonea aibu hapa.
 
Mungu amesikia kilio cha Watanzania milioni 40 wanaokandamizwa na manyangau wachache, sasa yale yote waliyofanya sirini yatawekwa peupe ili watanzania wafanye maamuzi sahihi.Naamini kabisa kuwa kuanikwa kwa uovu wa majambazi hawa ni mpango mahsusi wa Mungu kuwakomboa watu wake. Kila lenye mwanzo ni lazima liwe na mwisho. GLORY TO GOD
 
duh - kula kona kwanuka uvundo....guys we need to do an emergency restructuring of this junk system asap kwa sababu imeprove failure
How to go about it - VOTE YES to DR. Slaa Come October 31st. ukifanya hivyo utakuwa umeamua kubadilisha mfumo huu uliopo. vinginevyo basi utegemee mengi zaidi ya haya miaka 5 ijayo, njaa, mateso, ufisadi na inawezekana hata na sisi wananchi tukabinafishishwa on the process.

Mabadiliko ndiyo itakuwa solution na hayo yote, lazima watanzania tuamke na tukubali kufanya changes, tunakwisha.
 
Hili ni bonge la muvie.
Tofauti ya muvi hii na ile ya EPA ni kwamba muvi hii imegundulika kabla hata ya muda wa kampeni.
wakati ile ya EPA iligundulika baadae watu wakiwa tayari wapo madarakani.
Imefika kipindi kwa Watanzania kusimama na kusema 'ENOUGH IS ENOUGH'
 
MediaPix hawa hawakomi????? someni hii

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam


It is understood that the photographs totalled 70 in number, bought at a cost of between $3,967 (approx. 4.7m/-) and $9,878 (11.7m/-) per piece.


Says the audit report: "The pictures were all of the same size and quality we found no visible difference between those which were purchased at $3,967 per piece and those purchased at $9,878 per piece."
.........
It is furthermore understood that Mediapix International Limited has already responded to the query by defending its prices as 'fair and appropriate'.[/COLOR]

Naomba mji!
 
Wadau,

Leo gazeti la Mwanahalisi limeripoti ufisadi mkubwa wa mabilioni ya mapesa unaofanyika Ikulu ukimhusisha Salva Rweyemamu. Ni kuhusu mapesa ya serikali kutumika katika kampeni za JK katika mradi wa kuchapisha picha, vipeperushi, n.k. zitakazotumika katika kampeni ya mgombea urais wa chama hicho. Ni EPA nyingine tena hiyo......

Mwenye kupata soft copy ya full story ya Mwanahalisi -- ikiambatana na vielelezo vilivyochapishwa -- tunaomba atuwekee hapa

Hili siyo jipya ndugu maana kila mwaka wakati wa uchaguzi mambo huenda hovyo kila sehemu. eti hela zimeenda kwenye uchaguzi either direct or Indirect. So siyo ajabu sana. so far., Serikali ndo CCM ambayo inagombea pia. Kwahiyo hata ikaficha kuwa hakuna mkono wake, basi utakuwepo tu.
 
Back
Top Bottom