Serikali ya Tanzania yazuia ndege kutoka shirika la Kenya Airways kutua Dar, Kilimanjaro na Zanzibar

KQ ilikua inakuja Dar peke yake mara 5 kwa siku ukiachana na JRO/ZNZ

Uwezi kusema ni jambo la kawaida kwa KQ, ofcoz ni pigo kwa KQ
Ni pigo kwa KQ lakini ni pigo kubwa zaidi kwa Watanzania waliokuwa wanatumia Shirika hilo kwenda Ulaya, China na nchi nyingine za Mashariki ya Mbali maana mabawa ya madege ya ATCL yamenyonyoka hayawezi kuruka. Wasafiri toka Mikoa ya Kaskazini hawana shida wataendelea kusafiri kwa KQ kuanzia Nairobi Kama walivyozoea kwa kutumia Shattles za kila saa zikisafirisha watalii. Ngoja nikanunue viberiti toka Kenya vya kutosha maana haijulikani lini vitaingia Tena nchini kwani kiwanda cha Kibo Matches kilikufa miaka mingi. Bidhaa toka China ndo kwa heri labda wafanya biashara wetu waliokuwa wanaleta kwa KQ watumie nyungo.
 
sema kujidanganya! Munapenda kujidanganya watanzania. KQ ilikuwa inakuja dar mara 14 kwa wiki hiyo ni mara mbili kwa siku kuanzia 2015. Linganisha hiyo na KQ mara 5 kwa siku kuenda entebbe, Jambo jet mara 3 kwa siku kuenda entebbe.
Hata kibiashara, Kenya inafanya biashara mingi na uganda na rwanda kushinda Tanzania. Biashara kati ya kenya na uganda ni karibu mara tatu kati ya kenya na tanzania.
Unaishi dunia gani wewe?
 
Tungeweza na kuzuia bidhaa zao kuingia huku kwetu ndo wangetambua kwamba soko la Tanzania ni muhimu sana kwa uchumi wao.
Kila duka limejaa bidhaa za Kenya, mpaka viwanda vyetu ninakufa.

Ndo tunapoelekea subiri mpaka j3 utapata majibu
 
Kwa nchi rafiki na kiungwana wangesema sababu

Pili wangesema muda likely wa kuzifungua

Tatu wangesema sio TZ tu ni nchi nyingi

Huyu ni JPM, he dont care na hao Kenya wanatutegemea sana kuliko unavyodhania, raw materials za viwanda vya kenya yanatoka TZ, chakula kenya haijawahi kujitosheleza, SOKO la bidhaa zao liko TZ

Wao hawafikirii haya?

Kwa nn jirani yako una m treat kama yuko asia?

Wamekosea
Mkuu

Hizi personal emotions hawa viongozi zinapowapanda na kutoa maamuzi kama haya,concequences zake ni far-reaching.

Kuna best way ya ku-address hili swala na economically ukawa ume-win pia.

Mawe kutokujali ni bliss ya ignorance yake. Mtu asiejua lolote hua hajali maana hajui.

Angekua anajua na anauelewa ange-solve intelligently...Too bad hajui 1+1.
 
Ushageuza hii ni Watanzania vs Wakenya

Mimi ni Mtanzania,na sipo hapa kutetea jawabu la kipumbavu mamlaka lililotoa...ni jawabu la hovyo economically...

Eti kwavile mimi Mtanzania unataka nikubali tu upumbavu hawa viongozi wanaufanya eti kwavile mimi ni raia wa Tanzania?

Thats not me mzee....huwezi niweka kwenye box na kunipangia cha kushabikia japo ni mavi
Wewe si mkenya, haya nijibu basi nlichouliza kwenye reply apo ili nijue kama kweli hutetei mavi.
 
Ni pigo kwa KQ lakini ni pigo kubwa zaidi kwa Watanzania waliokuwa wanatumia Shirika hilo kwenda Ulaya, China na nchi nyingine za Mashariki ya Mbali maana mabawa ya madege ya ATCL yamenyonyoka hayawezi kuruka. Wasafiri toka Mikoa ya Kaskazini hawana shida wataendelea kusafiri kwa KQ kuanzia Nairobi Kama walivyozoea kwa kutumia Shattles za kila saa zikisafirisha watalii. Ngoja nikanunue viberiti toka Kenya vya kutosha maana haijulikani lini vitaingia Tena nchini kwani kiwanda cha Kibo Matches kilikufa miaka mingi.
Ethiopian airlines ipo
 
Ndio maana nakwambia,y'all need to go to the drawing board,uamuzi mliochukua ni uamuzi rahisi sana hata kichaa wa mirembe angeuchukua..

Mzee,huwezi nielekeza cha kuongea humu wala mimi siwezi kuelekeza chochote humu!

Kenya imefungia nchi zaidi ya 250,TZ ni one of them..shida mmepaniki na kuchukulia personal,too bad Nairobi ni regional hub EA hapa,mizigo yote itakwamia hapo,na abiria wote hawawezi enda long route ya Cape Town eti ndio waje TZ.

Jawabu sio rahisi kiivyo kama mlivyotoa,is that economically at your best interest au mmeenda kula pilipili kichaa za Chattle huko?

This is chess and not checkers.
Mmelikologa kulinywa mtalinywa mtake msitake ili siku nyingine mjifunze kuitumia akili zenu siyo za kushikiwa na mabwana zenu! Sisi tupo ladhi tupoteze hicho unachokiona lakini siyo heshima ya taifa letu Tz! Ukitaka kujua rejea historia ya Nduli Idd Amin...japokuwa uchumi haukuruhusu lakini kwa Kuwa hatupendi dharau...kilichofuata Amin hakuamini macho yake! Hivyo msifikiri mnaweza kubashiri retaliation plan ya Tz hata siku moja!
 
Brand ya KQ na jambo jet ni tofauti mkuu. Mtu anataka ubora akiikosa KQ atapanda Ethiopian airline at Rwanda air ila sio izo jambo bdo watapata damage loss Sana sababu ata ATCL Kenya sizani km zinatua
Mbona KQ pekee, si mungefungia hata Jambo jet ambayo ni mtoto 100% wa KQ, pia precision air ambayo ni 50% mtoto wa KQ? Yani hapo hakuna kazi imefanyika ni vitisho tu. Hata mufungie KQ na jambo jet bado KQ itapata pesa kupitia precision air.
 
si

Sijui kama unaelewa KQ ina abiria wengi sana Zanzibar hilo ni pigo kuu tena linaumiza kwa Kenya kuliko Tz kwa sababu Tz haina safari za NBI. Unajua KQ inategemea sana flight za nje sababu kenya haina viwanja vingi kwa ajili ya domestic flights kama Air Tanzania. Hii ni dalili ya kuvunjika tena EAC. TZ iimarishe jumuiya ya SADC Mwalimu aliiona hii hali na pia tukubali COMORO kujiunga na sisi jamhuri ya muungano wa Tanganyika, Zanzibar na Comoro yaani jamhuri ya TANZACOM
The importance of Tanzania to Kenya is not high.
i) Kenya exports to Uganda kes 67 billion, Kenya imports from Uganda +kes 29 billion.
ii) Kenya exports to Tanzania kes 27 billion, Kenya imports from Tanzania kes 11 billion.
iii) KQ flights to entebbe 5 daily, jambo jet 3 daily.
iv) KQ flights to dar 2 daily, jambo jet 0 but has licence to operate from JNIA since 2017.

Unaona kwa nini GOK kutoka kitambo huwahaigopi kukasirisha GOT na watanzania?
 
Wewe si mkenya, haya nijibu basi nlichouliza kwenye reply apo ili nijue kama kweli hutetei mavi.
Najibu nachotaka sio unachotaka wewe!

Sitetei mavi mimi, natoa my thinking on issues kufata katiba ya ubongo wangu na sio eti uraia wangu.

Uraia wangu hau-dictate ubongo wangu unavyofanya kazi.

Uraia wangu ni kipande cha ardhi walicho-define wanadamu wapumbavu kama mimi,hivyo hicho kipande cha ardhi hakiwezi vuruga ubongo wangu niseme 1 ni 2 wakati ni 1. Mimi sio kichaa wa namna hiyo mzee!
 
Pagumui sana hapaa...!! MKAPA ndo alikuwa anaweza kumshaurii Jiwe sasa hayupooo Yani diplomasia ya kenya na tz ipo pabayaa sanaa. Ego itaua uhusiano wa hizi nchi mbilii japo wanajidai marafiki kinafiki lakini tushafikaa mbalii aiseee sasa hivi raia wa tz wataanza kutimuliwa kenya

MKAPA majirani wote hawajaja kumzika.
Hata huku wakenya wakufukuzwa wapo kibao
 
Ndio maana nakwambia,y'all need to go to the drawing board,uamuzi mliochukua ni uamuzi rahisi sana hata kichaa wa mirembe angeuchukua..

Mzee,huwezi nielekeza cha kuongea humu wala mimi siwezi kuelekeza chochote humu!

Kenya imefungia nchi zaidi ya 250,TZ ni one of them..shida mmepaniki na kuchukulia personal,too bad Nairobi ni regional hub EA hapa, mizigo yote itakwamia hapo,na abiria wote hawawezi enda long route ya Cape Town eti ndio waje TZ....

Jawabu sio rahisi kiivyo kama mlivyotoa,is that economically at your best interest au mmeenda kula pilipili kichaa za Chattle huko?

This is chess and not checkers.
Wewe ni jinga kubwa lao. Hizo nchi ilizofungia umeona KQ ikiruka kwenda huko?
 
Back
Top Bottom