Quemu
JF-Expert Member
- Jun 27, 2007
- 984
- 128
Wakati najiandaa kuja nyumbani na kuelekea jimboni kwangu Masasi kwenda kutangaza azma yangu ya kusimama uso kwa uso na mbunge wa sasa hapo mwakani, ilinilazimu kwanza nipitie kitengo cha afya cha county ninayoishi huko kwa Obama kwenda kuchoma masindano ya kinga. Yes, na mimi natangaza kama mzee wa Kyela. Ingawaje mimi sina uwezo wa kumwaga mazagazaga ya teknolojia huko jimboni kwangu.
Kwa kawaida huwa sichomi hayo masindano ya kinga kila mara ninapojiandaa kuja nyumbani. Lakini safari hii imenilazimu kwa sababu nimejipatia 'precious cargo' hivi karibuni, na nisingependa niibebeshe mzigo wa mibacteria pindi nirudipo kutoka kwenye harakati zangu za kisiasa.
Anyway, harakti zangu pembeni. Sasa kilichoteka macho yangu ni hii doc (hapo chini) ambayo inaonyesha aina ya kinga za magonjwa ambayo msafiri anashauriwa apewe aendapo nchi inayoitwa Tanzania.
Yaani tunaongoza kwa case za TB kutokana na data za WHO. Isitoshe, jamaa wanashauri kuwa wasafiri wakimbilie Nairobi incase of serios medical conditions. Hii inamaanisha kuwa Kenya wana health care system mzuri sana kutushinda. Halafu eti tunawaita watani wetu wa jadi....mtani gani wa jadi anakushinda kwa karibu kila kitu.
Oh well, hebu jioneeni wenyewe..
Kwa kawaida huwa sichomi hayo masindano ya kinga kila mara ninapojiandaa kuja nyumbani. Lakini safari hii imenilazimu kwa sababu nimejipatia 'precious cargo' hivi karibuni, na nisingependa niibebeshe mzigo wa mibacteria pindi nirudipo kutoka kwenye harakati zangu za kisiasa.
Anyway, harakti zangu pembeni. Sasa kilichoteka macho yangu ni hii doc (hapo chini) ambayo inaonyesha aina ya kinga za magonjwa ambayo msafiri anashauriwa apewe aendapo nchi inayoitwa Tanzania.
Yaani tunaongoza kwa case za TB kutokana na data za WHO. Isitoshe, jamaa wanashauri kuwa wasafiri wakimbilie Nairobi incase of serios medical conditions. Hii inamaanisha kuwa Kenya wana health care system mzuri sana kutushinda. Halafu eti tunawaita watani wetu wa jadi....mtani gani wa jadi anakushinda kwa karibu kila kitu.
Oh well, hebu jioneeni wenyewe..