Nimekuelewa ndugu yangu, itakuwa hasira zilizidi kuona tunafanyiwa mambo ya dharau na sie tumenyamaza tu kama misukule.Mkuu wangu Chesty,, naomba unisamehe bure tu mdogo wangu, ni kughafirika tu kote huko! Naihurumia sana nchi yangu kuongozwa na likimbizi harafu kuna majitu kule Lumumba yanapiga vigelegele! Ndiyo maana nikatukana Matanzania yote maana tunaonekana kama hatuna akili vile,, yaaniamekosekana mkakamavu hata mmoja wa kudai vielelezo vya mtu huyu!! Hata mimi nilimkataa tangu siku anatangazwa pamoja na kujivika Usukuma lakini niligoma kula Haramu!!