Hahaa mkuu nimecheka sana. CAG-remix hana akili hizo...Jamaa kaingizwa mkenge wa kuleta majibu kwa umma,
Kuna siku msibani nakumbuka niliwahi kuambiwa nikatoe tangazo kuwa hakuna chakula halaf ukizngatia hapo kabla ya kwenda kuzika watu waliambiwa twende tukazike tukirud ndio tule chakula sasa mara watu wamerudi kutoka msibani wazee wenzangu wananiita wananituma niende nikawaombe radhi niwaambie waungwana HAKUNA CHAKULA. Mimi nlikaa nkajfikiria nilitoka mpk nje nakawaangalia waungwana nkapga mahesabu na kuchanganya akili nkaona hapana bora kuchukiwa na hao wachache walikuwa wamenituma kuliko kujipotezea heshima mbele ya waungwana hawa wanaosubiri msosi,nilivaa viatu nilipitiliza hyooo bila kusoma chochote.
Hta CAG-remix angetulia tu asingeleta "mark board"