Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Nauliza wadau: Hivi serikali ya CCM ina kitu gani cha kuwapa wanafunzi wanaomaliza shule zaidi ya umachinga? Hawa maelfu ya wanafunzi wa Kidato cha 4 waliofeli, na hata waliofaulu, kitu kikubwa kinachowangejea ni kutembeza nguo nk barabarani.
Nadhani ndiyo maana kufeli kunazidi. Fikiria: Mwanafunzi anafanya mitihani huku mawazo yake ni kwamba siyo kufeli tu, hata akipasi ni umachinga tu ndiyo unaomngoja. Siyo wote, lakini wengi wao huwaza hivyo.
Nawasilisha.
Nadhani ndiyo maana kufeli kunazidi. Fikiria: Mwanafunzi anafanya mitihani huku mawazo yake ni kwamba siyo kufeli tu, hata akipasi ni umachinga tu ndiyo unaomngoja. Siyo wote, lakini wengi wao huwaza hivyo.
Nawasilisha.