Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,432
- 11,096
Nchi hii hasa serikali na mamlaka zake Mungu anawaona, naandika nikiwa na hasira sio NIDA wala Uhamiaji, au Polisi kote kumeoza.
Wahamiaji haramu wametapakaa sio kwenye bar, shambani, kwa house girls, vibarua wa kufuga mbuzi, nguruwe, kuku ambao wako nchini kwenye maeneo mbalimbali wasio na vibali, wenye vibali feki, wenye Vitambulisho vya NIDA.
Napata hofu kubwa, naiona Boko Haram, naiona ISIS, naona Tawi la ADF nyakati fupi zijazo. Kwanini tuwe hivi kama taifa? Watu wengi, mamilioni hawana ajira, hali ni mbaya sana, ni nyakati za utawala kuwa macho na madhubuti kwenye mambo msingi kwenye ulinzi na usalama.
Hii ni mara ya mwisho sitaonya wala kushauri tena.
👍👍👍
Wadiz
Wahamiaji haramu wametapakaa sio kwenye bar, shambani, kwa house girls, vibarua wa kufuga mbuzi, nguruwe, kuku ambao wako nchini kwenye maeneo mbalimbali wasio na vibali, wenye vibali feki, wenye Vitambulisho vya NIDA.
Napata hofu kubwa, naiona Boko Haram, naiona ISIS, naona Tawi la ADF nyakati fupi zijazo. Kwanini tuwe hivi kama taifa? Watu wengi, mamilioni hawana ajira, hali ni mbaya sana, ni nyakati za utawala kuwa macho na madhubuti kwenye mambo msingi kwenye ulinzi na usalama.
Hii ni mara ya mwisho sitaonya wala kushauri tena.
👍👍👍
Wadiz