mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Wadau inasikitisha sana kusikia Wazee Wastaafu hawajalipwa Mafao yao toka walipostaafu Julai 2018.
Huu ni Mwezi wa 9 wamekuwa wanasotea Mafao yao lakini bado hawajalipwa, hebu tujiulize Wazee hawa wanaishije na Familia zao?
Ni vema Serikali ikawalipa Wazee Wastaafu Mafao yao pamoja na Pensheni zao za kila Mwezi kwani ndio kipato pekee walichonacho.
Huu ni Mwezi wa 9 wamekuwa wanasotea Mafao yao lakini bado hawajalipwa, hebu tujiulize Wazee hawa wanaishije na Familia zao?
Ni vema Serikali ikawalipa Wazee Wastaafu Mafao yao pamoja na Pensheni zao za kila Mwezi kwani ndio kipato pekee walichonacho.