Mel James
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 344
- 241
Habari za mda huu
Naenda moja kwa moja kwenye mada. Serikali tumekuwa tukikatiwa nyama kwenye magogo toka enzi za uhuru. Bucha nyingi hasa mikoani ni magogo.
Binafsi sijaona madhara au kusikia madhara ila ukweli ni kwamba kutokana na mabadiliko ya teknolojia yanayoenda kasi dunian kote na pia hulka ya binadamu, kila mtu anapenda kitu kizuri.
Tunaomba mtutolee haya magogo buchani kama mliweza mifuko ya Rambo hili sidhani kama kwenu ni shida. Tunaomba msamini pia kipato chetu tunapata kwa shida sana bado kodi kama zote basi tunaomba na sisi tupate anagalau kitu bora, isue ya mizani buchani hiyo imewashinda kucheki kama inapima sawa au sio sawa, ila hilo la magogo lipo ndani ya uwezo wenu.
Kuna kipindi nilisikia mnataka kutoa magogo badae ikawa kimya. Ila hongeren sana kuweza kusimamia ili la usafi jumamosi za mwisho wa mwezi hapa mkoani kwangu panarizisha sana.
Asanteni
Naenda moja kwa moja kwenye mada. Serikali tumekuwa tukikatiwa nyama kwenye magogo toka enzi za uhuru. Bucha nyingi hasa mikoani ni magogo.
Binafsi sijaona madhara au kusikia madhara ila ukweli ni kwamba kutokana na mabadiliko ya teknolojia yanayoenda kasi dunian kote na pia hulka ya binadamu, kila mtu anapenda kitu kizuri.
Tunaomba mtutolee haya magogo buchani kama mliweza mifuko ya Rambo hili sidhani kama kwenu ni shida. Tunaomba msamini pia kipato chetu tunapata kwa shida sana bado kodi kama zote basi tunaomba na sisi tupate anagalau kitu bora, isue ya mizani buchani hiyo imewashinda kucheki kama inapima sawa au sio sawa, ila hilo la magogo lipo ndani ya uwezo wenu.
Kuna kipindi nilisikia mnataka kutoa magogo badae ikawa kimya. Ila hongeren sana kuweza kusimamia ili la usafi jumamosi za mwisho wa mwezi hapa mkoani kwangu panarizisha sana.
Asanteni