Zjilala
JF-Expert Member
- Jun 17, 2013
- 427
- 416
Unaongelea kuhadimika kwa namna gani mkuu? Uhadimu huo wa sukari ni fake na nafurahia akichukuliwa hatua haiwezekani viwanda vifanye bidii ya kuzalisha afu watu wanaficha sukari na kuuza bei juu si bora hiyo bei wangepewa wakulima kuliko mnaojifanya wafanyabiasharaHujui biashara kaa kimya. Kama hujui kuadimika kwa bidhaa ni habari njema kwa mfanyabiashara aliye na hiyo bidhaa na lazima aitoe taratibu huku anasoma hali inaendaje asije akauza yote leo kwa elfu kumi alafu kesho akaja mteja anaitafta kwa laki moja (anaweza akajinyonga kwa ujinga huo)
TATIZO LA MSINGI HAPA NI UHABA WA SUKARI NDIO MAANA HATA MIMI NINGEKUWA NAYO NINGEITOA KWA VITUO SIO KAMA BIDHAA IKIWA YAPATIKANA.