maonomakuu
JF-Expert Member
- Jul 24, 2015
- 2,516
- 1,198
Jamii forums imekuwa ya ajabu sana, hii habari inafaa kuwa ya kisiasa?
Kwahiyo wewe unaona ni sawa mtu anunue sukari tani kwa tani then aweke store akiforecast kupanda kwa bei hapo mbeleni ndio auze?? Hii sukari tunayonunua elfu 3 sasa kwa kilo wewe unaona ni sawa tena usikute ulikuwa unaomba ifike mpaka elfu 10 ili ionekane serikali imeshindwa kufanya kazi...
Umeambiwa kama huiwezi hii kasi, uhame. Kumbe hujaondoka unaendelea kueneza chuki zako?
Jifanye wewe ndio rais alafu solve hii problem na siyo kulalamika tu.Sijakuuliza hayo uliyonijibu. Umekwepa swali langu ukatengeneza lako na ukalijibu. Soma swali langu unijibu, mbona simple tu!
Mkuu huo ni mzuka tu pale wanapotaka kupata audiences. Wanajisahau kama walishatuambia sheria haziruhusu. Sas subri wakiwa wanamchunguza lugumi hutaskia loloteLeo Takukuru wameanza kuweka wazi mambo wanayochunguza yakiwa katika hatua hii? Si ni Takukuru wenyewe walituambia sheria inawazuia kuweka wazi mambo yanapokuwa katika hatua ya uchunguzi? Ni mhemko au ni nini?
Mkuu umenena vyema.Mkimaliza Sukari kavamieni Banks nao wanaficha Dola ili iadimike na kuuzwa kwa bei ya juu!
Uchumi ni Kanuni sio Amri, Kazi ya kusimamia uchumi inahitaji akili sio sio nyepesi kama kuwasha na kuzima Mwenge!
SIWEZI KUELEWA HIYO LOGIC YAKO NDOGO. Hata sukari isingefichwa bado isingeuzwa kwa hiyo bei elekezi ya 1800. Hivi kuna mfanyabiashara anayependa kupata hasara? Serikali imeshaagiza sukari na JPM amerudia hiyo kauli kuwa sukari italetwa ya kutosha na ya bei nafuu. Atakuwa mfanyabiashara asiye na akili anayeficha sukari wakati anajua sukari ikiingia itakuwa bei chini naye hatakuwa na pa kuuza kwa bei anayotaka yeye. Sasa hivi sukari kwa bei ya jumla inauzwa 55,000/- hadi 60,000/- kwa mfuko wa 25kg. Kwa maana hiyo kama sukari iliyoagizwa na serikali itaingia sokoni na bei elekezi ya 1800 mfuko huo wa 25kg utauzwa 40,000/- . Sasa huyo anayedaiwa anaficha sukari atakuwa na uji kichwani...!!Wanaofanya bei iwe 3000 ni pamoja na hao wanaoficha sukari ndani.. Au hata logic ndogo kama hii huelewi?
Mwasita usinichoshe, hata ndoto tu ya kuwa raisi sijawahi kuota.Jifanye wewe ndio rais alafu solve hii problem na siyo kulalamika tu.
1. Viwanda Vya ndani vinazalisha sukari alafu haiuziki.
2. Wafanyabiashara wanaagiza sukari kiholela expired sukari kutoka nje.
3. Wafanyabiashara Wa ndani wanaamua kununua sukari yote kutoka viwandani alafu wanakaa nayo tu.
Wanaitunza Store.
Baada ya muda mfupi wa rais kusema kuwa kuna wafanyabiashara wameficha Sukari, muda huu imeripotiwa kuwa huko Mbagala kuna Sukari ya zaidi ya tani 4,900 kwenye ghala la mfanyabiashara mmoja na imeelezwa zitachukuliwa hatua stahiki.
Chanzo: TBC, habari mpasuko.
Katika uchunguzi wake TAKUKURU pia imebaini kuwepo kwa mikakati ya dhati iliyokuwa ikifanywa na mfanyabiasha huyo kwa kununua sukari yote toka viwanda vya ndani na kisha kuihifadhi na kuuza bidhaa hiyo kidogo kidogo kwa wastani wa tani 250 kwa siku wakati alikuwa na uwezo wa kuuza zaidi jambo lililochangia uhaba wa sukari katika soko.
Kuficha bidhaa ni kosa la uhujumu uchumi na ni kinyume na Aya ya 3 Jedwali la kwanza Sheria ya Uhujumu Uchumi Sura ya 200 [Chapisho la Mwaka 2002]. Serikali haitavumilia hujuma za namna hii na itachukua hatua kali dhidi ya mfanyabiashara yeyote ataekwenda kinyume na sheria hii.
TAKUKURU imetoa wito kwa wafanyabiashara wote wa sukari kuacha vitendo vya kuficha sukari na vyombo vya uchunguzi vinafuatilia kote nchini na yeyote atakayebainika kufanya hujuma hizo atakabiliwa na mkondo wa Sheria.
Wambie na Chadema wenzako waache kulalamika tu bila kuleta solution.Mwasita usinichoshe, hata ndoto tu ya kuwa raisi sijawahi kuota.
Shukeni tu asee shukeni haraka msije tutia gundu bure..!!
Mkuu mbona IGP ameshatolea ufafanuzi sikunyingi tu kuwa habari zilizoenea nchini kuhusu lugumi ni za uongo na za kupuuza...,i hali takukuru nao wanaendelea na uchunguzi , huku bunge likiwa limeshaunda tume maalum kwa ajili ya kuchunguza hilo sakata la lugumi.,,. Hapo tusitegemee chochote mkuu. Ni maigizo tu yanayoendelea nchini.Mkuu huo ni mzuka tu pale wanapotaka kupata audiences. Wanajisahau kama walishatuambia sheria haziruhusu. Sas subri wakiwa wanamchunguza lugumi hutaskia lolote
Umenifanya nikujibu wakati nilishafunga mjadala na wewe. Sikiliza Mwasita tena nakueleza hili jambo kwa upole kabisa kutoka sakafuni mwa moyo wangu, ni makosa makubwa tena makubwa sana kudhani kila anayekosoa, anayehoji, anayepinga ni CHADEMA.Wambie na Chadema wenzako waache kulalamika tu bila kuleta solution.
Wanatakiwa waje na solution ili watanzania tuamini kuwa cdm ni mbadala Wa ccm.
Kulalamika tu haitufanye tuiamini chadema.
Ha ha ha neipenda sana hii komentMkuu huo ni mzuka tu pale wanapotaka kupata audiences. Wanajisahau kama walishatuambia sheria haziruhusu. Sas subri wakiwa wanamchunguza lugumi hutaskia lolote
SIWEZI KUELEWA HIYO LOGIC YAKO NDOGO. Hata sukari isingefichwa bado isingeuzwa kwa hiyo bei elekezi ya 1800. Hivi kuna mfanyabiashara anayependa kupata hasara? Serikali imeshaagiza sukari na JPM amerudia hiyo kauli kuwa sukari italetwa ya kutosha na ya bei nafuu. Atakuwa mfanyabiashara asiye na akili anayeficha sukari wakati anajua sukari ikiingia itakuwa bei chini naye hatakuwa na pa kuuza kwa bei anayotaka yeye. Sasa hivi sukari kwa bei ya jumla inauzwa 55,000/- hadi 60,000/- kwa mfuko wa 25kg. Kwa maana hiyo kama sukari iliyoagizwa na serikali itaingia sokoni na bei elekezi ya 1800 mfuko huo wa 25kg utauzwa 40,000/- . Sasa huyo anayedaiwa anaficha sukari atakuwa na uji kichwani...!!
Hujui biashara kaa kimya. Kama hujui kuadimika kwa bidhaa ni habari njema kwa mfanyabiashara aliye na hiyo bidhaa na lazima aitoe taratibu huku anasoma hali inaendaje asije akauza yote leo kwa elfu kumi alafu kesho akaja mteja anaitafta kwa laki moja (anaweza akajinyonga kwa ujinga huo)Kwanza huyo jamaa nilitegemea kafungwa au kunyongwa yaani sukari unanunua kwa bei ua chini afu unaiweka store uje uuze bei kubwa? Hana huruma kwa binadamu zaidi anawaza pesa kuliko uhai wa wenzake
Basi huyo mfanyabiashara anayeweza kufanya hayo yote na serrkili ipo, atakuwa bonge la kipanga na serikali yote ya JPM watakuwa bonge la vilaza.Kama uyu mfanya biashara ananunua sukar ya kieandani na kuificha atashindwa vipi kununu iyo sukari itakuyuingia kutoka nje na kuificha pia? Ndo mana lazima serikali ioneshe makali yake mapema ili kuzuia wajanja wachache kuchezea soko la sukari..!