TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Mwenye macho haambiwi tazama,serikali inatumia nguvu ya hali na mali pale A.MASHARIKI,sasa kama lile shazi la wabunge wa CCM na mawaziri wangekuwa wanagombea ingekuwaje.Je,mwaka 2015 kama itakuwa hivi kwa nguvu ya CDM,CCM watapona.YETU MACHO NA MASIKIO.TUSUBIRI