Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,447
- 7,829
Waziri Bashe akiwa Ikulu, Dar ameongelea sakata la sukari nchini.
Bashe: Wafanyabiashara wana option mbili tu, waache kuuza sukari, Serikali itatafuta option nyingine. Wenye viwanda wana option mbili, wafate utaratibu wa Serikali au waache hii kazi.
Serikali haiwezi kuruhusu, tumewaprotect vya kutosha kama nchi lakini kwa uwezo wa mwenyezi Mungu mwezi wa sita kwenye Bunge la bajeti kama waziri mwenye dhamana ninapeleka mabadiliko ya sheria kwaajili ya ku libelarize biashara ya sukari, wata- compete na competing companies kutoka nje na wenyewe watapata incentives zilizo ndani ili kuwaprotect.
Hatuwezi kuendelea na irresponsible private sector kwenye nchi kwa hali hii inayoendelea. Wakulima wa miwa wako 12,500 nchini, tutasota mwaka mmoja, mabonde yale tutayageuza ya mpunga, there is no problem.. zipo nchi ambazo zimeacha kulima sukari.
Bashe: Wafanyabiashara wana option mbili tu, waache kuuza sukari, Serikali itatafuta option nyingine. Wenye viwanda wana option mbili, wafate utaratibu wa Serikali au waache hii kazi.
Serikali haiwezi kuruhusu, tumewaprotect vya kutosha kama nchi lakini kwa uwezo wa mwenyezi Mungu mwezi wa sita kwenye Bunge la bajeti kama waziri mwenye dhamana ninapeleka mabadiliko ya sheria kwaajili ya ku libelarize biashara ya sukari, wata- compete na competing companies kutoka nje na wenyewe watapata incentives zilizo ndani ili kuwaprotect.
Hatuwezi kuendelea na irresponsible private sector kwenye nchi kwa hali hii inayoendelea. Wakulima wa miwa wako 12,500 nchini, tutasota mwaka mmoja, mabonde yale tutayageuza ya mpunga, there is no problem.. zipo nchi ambazo zimeacha kulima sukari.