Geraldo DaVinci
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 277
- 37
hii inaonyesha thamani ya shilingi ilivyo shuka leo hii sh500 ni ndogo sana hivyo mzunguko wake ni mkubwa ndio maana zinachakaa
Ndiyo Wakuu! Katika kutoa majibu mepesi kwenye maswali magumu,serikali kupitia gavana bank kuu ,Prof Ndulu inatarajia kuanzisha sarafu ya miatano .Amedai kuwa noti hizo zinachakaa sana kwa sababu mzunguko wake ni mkubwa. Je ule ubora uliokuwa unasemwa uko wapi wakati noti hizo zinatoka? Au ndo ni amini kuwa jamaa walisha kula cha kwao? Hivi ni lini serikali hii ita anzisha vitu endelevu? Tunahitaji tafukuri nzito kama Taifa kuelekea Tanzania tuitakayo. Source: Taarifa habar Cloudz
nafiri tunahitaji kuwa wahalisia zaidi kuliko kuleta siasa.Noti za miatano sio imara(zilichakachuliwa mwanzo kwa maslahi binafsi) ndio maana hazidumu na sio kama huyu jamaa anavyotudanganya eti zinachakaa kwasababu ya mzunguko mkubwa ktk uchumi,ukijaribu kuzifuatilia hata hizi nyingine zinazobaki huwezi linginasha ubora wake na zile za awali.hii inaonyesha thamani ya shilingi ilivyo shuka leo hii sh500 ni ndogo sana hivyo mzunguko wake ni mkubwa ndio maana zinachakaa
Ki uchumi sio Vizuri kuwa na sarafu za thamani kubwa ,uchumi ulikomaa inafaa kuwa na sarafu zenye value ndogo au noti isiyo zidi mia tano 500 ,mfano UK and US hwana hata noti ya 1000 maana yake kuwa uchumi umekuwa,nashauri wachapishe pesa mpya na kiwango cha juu cha noti iwewe buku na wafanye kazi ya kufufua uchumi na kusitisha tabia mbaya ya ufisadi.
Lini ulilijua hili?Kutokana na umasikini wa watanzania mzunguko wa noti za sh. 500 ni mkubwa hivyo kuchakaa kwake hakuepukiki ni bora kuwa na sarafu badala ya noti.
Tutakapokuwa sisi wananchi kuwa ndio waajiri wa viongozi wetu ndio watafanya kile tunachota, sasa wanafanya watakavo maana wanajua uchaguzi ukifika pilao.,pombe za kienyeji, kofia, t-shirt, vitenge, kanga na kwa wale wabishi zaidi 5,000 na 10,000 inatumika kazi kwisho wanasongesha maisha tuuNdiyo Wakuu! Katika kutoa majibu mepesi kwenye maswali magumu,serikali kupitia gavana bank kuu ,Prof Ndulu inatarajia kuanzisha sarafu ya miatano .Amedai kuwa noti hizo zinachakaa sana kwa sababu mzunguko wake ni mkubwa. Je ule ubora uliokuwa unasemwa uko wapi wakati noti hizo zinatoka? Au ndo ni amini kuwa jamaa walisha kula cha kwao? Hivi ni lini serikali hii ita anzisha vitu endelevu? Tunahitaji tafukuri nzito kama Taifa kuelekea Tanzania tuitakayo. Source: Taarifa habar Cloudz