yutong
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 1,601
- 338
magufuli kashapoteza credibility yake kwa watanzania, yahani anadanganya kweupee mchana? dar yenyewe bado barabara za vumbi kibao na hata hizo za lami zenyewe ni vilaka na mashimo kibao. Nadhani wamemwambia adanganye ili CCM watuibie kura tena. Ndio yaleyale ya Jairo