Ni Mimi Msiogope
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 352
- 200
Nandika hapa nitaandika na pengine kwa kirefu kwenye gazeti la The East African.
Serikali ilipoamua kuwa wezi wa fedha za EPA 'Wazirudishe yaishe' niliifananisha na kibongoyo au Simba wa Kuchongwa!.. Nilihoji mara nyingi pamoja na Watanzania wengine tukaambiwa 'Msitufundishe kazi'.
Serikali ikafanya matumizi ya hovyo hovyo kwa uchache ni kama zile 3.8billion zilizotumika kuileta timu ya Brazil Tanzania, 209Billion kuagiza magari ya Serikali kupitia dalali mmoja huko Japan, Hivi karibuni ikatumia 1.7billion kuwasomesha watendaji 7 wa TCRA nje ya nchi kwa miezi nane, 56milion kwa ajili ya kushona sare za marubani 7wa ATCL, Na mengineyo mengi ya hovyo hovyo (Ambayo yatakuwepo kwenye gazeti)
Serikali dhaifu ikashindwa kufufua viwanda-Huku ikiwahimiza vijana wafanye kazi
Serikali dhaifu ikashindwa kununua hata ndege moja-Baada ya zile saba zote kufa
Serikali dhaifu ikashindwa kukuza uchumi wa kaya-Watanzania na mfumuko wa bei
Serikali dhaifu ikashindwa kulinda hata rasilimali zetu-Wakauza Twiga na Tembo kwenye jiji la Karachi Pakistani!
Serikali dhaifu ikashindwa kuwashtaki mafisadi papa-Kwakuwa ni wana CCM
Na mengineyo mengi!
Dawa ya serikali ya aina hii ni kufanywaje?
Serikali imewatawala watanzania au inawaongoza?
Serikali ilipoamua kuwa wezi wa fedha za EPA 'Wazirudishe yaishe' niliifananisha na kibongoyo au Simba wa Kuchongwa!.. Nilihoji mara nyingi pamoja na Watanzania wengine tukaambiwa 'Msitufundishe kazi'.
Serikali ikafanya matumizi ya hovyo hovyo kwa uchache ni kama zile 3.8billion zilizotumika kuileta timu ya Brazil Tanzania, 209Billion kuagiza magari ya Serikali kupitia dalali mmoja huko Japan, Hivi karibuni ikatumia 1.7billion kuwasomesha watendaji 7 wa TCRA nje ya nchi kwa miezi nane, 56milion kwa ajili ya kushona sare za marubani 7wa ATCL, Na mengineyo mengi ya hovyo hovyo (Ambayo yatakuwepo kwenye gazeti)
Serikali dhaifu ikashindwa kufufua viwanda-Huku ikiwahimiza vijana wafanye kazi
Serikali dhaifu ikashindwa kununua hata ndege moja-Baada ya zile saba zote kufa
Serikali dhaifu ikashindwa kukuza uchumi wa kaya-Watanzania na mfumuko wa bei
Serikali dhaifu ikashindwa kulinda hata rasilimali zetu-Wakauza Twiga na Tembo kwenye jiji la Karachi Pakistani!
Serikali dhaifu ikashindwa kuwashtaki mafisadi papa-Kwakuwa ni wana CCM
Na mengineyo mengi!
Dawa ya serikali ya aina hii ni kufanywaje?
Serikali imewatawala watanzania au inawaongoza?