MLAU
JF-Expert Member
- Aug 23, 2007
- 4,726
- 3,354
Ni muhimu sana kuwekeza Katika elimu ya primary,secondary na hatimaye elimu ya vyuo vya kati na vyuo vikuu.
Na pia uwekezaji Katika elimu ya ufundi ukizingatia viwanda vingi vimejengwa Mkoa wa Pwani itawasaidia sana ktk ajira.
Wadau mbalimbali na Imani kuwa hiyo nayo ni fursa Katika uwekezaji ili kwenye elimu kusadia vijana wetu wa mikoa hii miwili ili kuwafanya wawe wapate ufahamu wa kukabiliana na mazingira na kupunguza kujiingiza Katika tabia hatarishi kama mimba za utotoni na ndoa za mapema.
Na hata kupunguza vijana kutumiwa na watu wenyewe nia mbaya kwenye vitendo vya uhalifu.
Na pia uwekezaji Katika elimu ya ufundi ukizingatia viwanda vingi vimejengwa Mkoa wa Pwani itawasaidia sana ktk ajira.
Wadau mbalimbali na Imani kuwa hiyo nayo ni fursa Katika uwekezaji ili kwenye elimu kusadia vijana wetu wa mikoa hii miwili ili kuwafanya wawe wapate ufahamu wa kukabiliana na mazingira na kupunguza kujiingiza Katika tabia hatarishi kama mimba za utotoni na ndoa za mapema.
Na hata kupunguza vijana kutumiwa na watu wenyewe nia mbaya kwenye vitendo vya uhalifu.