Kwahiyo baada ya hizo leseni nyingi kufutwa ndo unataka kusema hivi sasa hayo madini hayachimbiwi na Wazungu? Unaweza kutaja ni leseni ya kampuni ipi kubwa ambayo ilifutwa?Umesahau kuwa leseni nyingi zilifutwa na kuanzia 2017 ilitungwa sharia mpya ya madini? Hujui kampuni nyingi ziliondoka na sasa ndio zinakuja kivingine.
Unajua una maswali kama mtu ambae hata hajui kusoma na kuandika hawezi kuuliza. Unajua Usa wana reserve ya gold kiasi gani na kwa nini?
Umeuliza maswali mazuri sana. Serikali ina evisa ya watalii na pia epassport application vyote vinahitaji internet. Ni jambo la kusikitisha na kushangaza Karne ya 21 watu wananyimwa internet as means ya kuwa control. Itakuwa ngumu sana kuendesha shughuli za maendeleo bila internet. We are DOOMED !Mkuu umefikiria athari zake kwa watu ambao hufanya biashara zao online? Applications za job na hata vitu vingine muhimu vinavyofanyika online ?
Wewe ni kichwa maji kabisa ,eti mitandao bongo ? Hivi unajua wangapi wanategemea hiyo mitandao kujipatia kipato ?hao vijana wengi waliomaliza vyuo wakakosa ajira kwa mfumo mbaya wa serikali wamejiajiri kwenye mitandao wanatangaza kufanya biashara mitandaoni ,booking za utalii ,mahotelini ,wanaingiza hela kwa views za video nk wote wameharibiwa kazi ,usifanye mambo kwa kukurupuka dunia inabadilika internet ni muhimu siyo unaongea upumbavu hapaBiashara za kuuza kupitia mtandao bongo? Nyumba hazijapangiliwa na hao ndio huwa wa kwanza huko uswahilini kuuana kwa kusiliza uongo wa kwenye mitandao.
Kusoma kwa kutumia internet ni uvivu wa kusoma vitabu ndio maana ubongo wako unawaza uharo
Hii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini.
Hizi ni nyakati mbaya sana maana mitandao inatumika vibaya na mara nyingi hutumika hata kuiba siri za nchi na kueneza propaganda za uongo.
Tumeshuhudia wadukuzi wakifanya udukuzi kwa kueneza propagada za uongo na kusababisha taharuki hasa nyakati za uchaguzi. Mimi binafsi naipongeza serikali kwa hatua ilizofanya kwa maslahi ya taifa letu.
Hatujui akina Amsterdam na baadhi ya mabeberu walikuwa na mpango gani wa kudukua na kuingilia mawasiliano ya mtandao wa serikali yetu ili kuvuruga uchaguzi.
Itokeshe kusema wewe ni mjinga, ni mjinga wa kuzaliwa kabisaBiashara za kuuza kupitia mtandao bongo? Nyumba hazijapangiliwa na hao ndio huwa wa kwanza huko uswahilini kuuana kwa kusiliza uongo wa kwenye mitandao.
Kusoma kwa kutumia internet ni uvivu wa kusoma vitabu ndio maana ubongo wako unawaza uharo
Kukiwa hamna Internet uchumi ndiyo unakua? Tuache ujinga na upumbavu......ajira hakuna na watu wamejiajiri kwasababu ya Internet kwa online business........ni mtu mjinga pekee ndiye anaweza kuwa na mawazo ya gizani kama haya......Hii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini.
Hizi ni nyakati mbaya sana maana mitandao inatumika vibaya na mara nyingi hutumika hata kuiba siri za nchi na kueneza propaganda za uongo.
Tumeshuhudia wadukuzi wakifanya udukuzi kwa kueneza propagada za uongo na kusababisha taharuki hasa nyakati za uchaguzi. Mimi binafsi naipongeza serikali kwa hatua ilizofanya kwa maslahi ya taifa letu.
Hatujui akina Amsterdam na baadhi ya mabeberu walikuwa na mpango gani wa kudukua na kuingilia mawasiliano ya mtandao wa serikali yetu ili kuvuruga uchaguzi.
Tena Askofu Rashid alisema corona imesababishwa na 5G, kwahiyo ni muhimu kuzima intanet manake corona inaweza kuhamia kweney 4G na taifa likawa destroyed!!internet itabomoa flyovers isiwashwe....nawaza kama CCM
Haya mabingwa wa kuiga vitu vibaya. Vitu vizuri hata hamna muda wa kuiga. Mfano demokrasia na KUACHA kura ndo ziamue kiongoziHii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini.
Hizi ni nyakati mbaya sana maana mitandao inatumika vibaya na mara nyingi hutumika hata kuiba siri za nchi na kueneza propaganda za uongo.
Tumeshuhudia wadukuzi wakifanya udukuzi kwa kueneza propagada za uongo na kusababisha taharuki hasa nyakati za uchaguzi. Mimi binafsi naipongeza serikali kwa hatua ilizofanya kwa maslahi ya taifa letu.
Hatujui akina Amsterdam na baadhi ya mabeberu walikuwa na mpango gani wa kudukua na kuingilia mawasiliano ya mtandao wa serikali yetu ili kuvuruga uchaguzi.
Watanzania wanachukua tahadhari ya kutotokea hivyo nilivyovitaja!!! Usipindishe hoja yangu.Si mmesema watanzania sio wajinga hawawezi kufanya fujo wala kuandamana?Woga huu wa nini sasa?
Watanzania au Jiwe lisilopenda mitandao na lilikuwa linataka malaika waje wafungie mitandao?Watanzania wanachukua tahadhari ya kutotokea hivyo nilivyovitaja!!! Usipindishe hoja yangu.
Tena hiyo ingesaidia sana Lumumba kuwa na Genge la Wafuasi ambao watakuwa wanamsaidia Jiwe kwa maana ya kumsaidia hasa!!!upumbavu wa kiwango cha lami. nafikiri nguvu wanayotumia kupambana kuionyesha dunia mambo ni safi (hukutechnolojia ikiwaumbua) wangeitumia kuondoa kwanza upumbavu/ujinga wa wafuasi wao.
Hii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini.
Hizi ni nyakati mbaya sana maana mitandao inatumika vibaya na mara nyingi hutumika hata kuiba siri za nchi na kueneza propaganda za uongo.
Tumeshuhudia wadukuzi wakifanya udukuzi kwa kueneza propagada za uongo na kusababisha taharuki hasa nyakati za uchaguzi. Mimi binafsi naipongeza Serikali kwa hatua ilizofanya kwa maslahi ya taifa letu.
Hatujui akina Amsterdam na baadhi ya mabeberu walikuwa na mpango gani wa kudukua na kuingilia mawasiliano ya mtandao wa serikali yetu ili kuvuruga uchaguzi.
Pole sana. Maana kijiba bado hakijatoka rohoni. Kitatoka, Polepole ndiyo mwendo!Watanzania au Jiwe lisilopenda mitandao na lilikuwa linataka malaika waje wafungie mitandao?
Anatumia loop hole ya uchaguzi kufungia mitandao,shame!