Mkuu umepiga ikulu, pole ndugu yangu. Wateja wakubwa ni hao watunga sera, ni sawa na vita ya machangudoa, haitakaa iishe wanao takiwa kuimaliza ni wale wateja wakubwa wamacd
mtoa uzi ,hao wanaoingia gesti na bar unazosema zifungiwe wameshawah kuja kuomba hela kwako?fanya yako bwana na wao watafanya yao kama hawavunji sheria
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.