mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Wasalaam wana jamiiforum
Kumekua na matumizi mabaya sana ya energy drinks Tanzania. Mbaya kuliko ni kwamba hadi watoto wadogo wa shule za msingi ni wanywaji wakubwa wa hivi vinywaji.
Na wanavichukulia powa kwamba vinawachangamsha na kuwaondolea uchovu lakini taratibu vinawamaliza.
Nimewaza bei yake madukani na vile zinazalishwa kwa wingi na makampuni tofautitofauti nikagundua soko lake ni kubwa sana nikaona ni heri serikali sasa ipandishe bei ipate mapato ya kusaidia waathirika na kupunguza matumizi yake kwa watanzania.
Bei ya chini ikiwa 5,000 kwa chupa sio mbaya kabisa
View: https://youtu.be/fHEDEy-P_xc?si=bJdgfMoKoEku53HJ
Watakaoshindwa kutumia ni vizuri warudi kwenye kutumia chai, kahawa na juice
Kumekua na matumizi mabaya sana ya energy drinks Tanzania. Mbaya kuliko ni kwamba hadi watoto wadogo wa shule za msingi ni wanywaji wakubwa wa hivi vinywaji.
Na wanavichukulia powa kwamba vinawachangamsha na kuwaondolea uchovu lakini taratibu vinawamaliza.
Nimewaza bei yake madukani na vile zinazalishwa kwa wingi na makampuni tofautitofauti nikagundua soko lake ni kubwa sana nikaona ni heri serikali sasa ipandishe bei ipate mapato ya kusaidia waathirika na kupunguza matumizi yake kwa watanzania.
Bei ya chini ikiwa 5,000 kwa chupa sio mbaya kabisa
View: https://youtu.be/fHEDEy-P_xc?si=bJdgfMoKoEku53HJ
Watakaoshindwa kutumia ni vizuri warudi kwenye kutumia chai, kahawa na juice
Energy ni mbaya bora unywe beer
Kibaya zaidi hadi Kuna wamama wanawapa watoto wao under 5yrs nadhani ni elimu hawana juu ya hii kitu