Serikali inatambua umuhimu wa Bandari ya Dar, haiwezi ikaibinafsisha. Puuzeni upotoshaji

Ndugu zangu watanzania,

Napenda kuwataarifu ya kuwa serikali ya Rais Samia Inatambua Umuhimu na upekee wa Bandari yetu ya Dar es salaam,Inatambua kuwa bandari hiyo ndio moyo wa uchumi wetu,ndio mboni ya Taifa letu kiuchumi,ndio Uti wa mgongo wa mapato yetu,ndio usalama wetu wa Taifa kiuchumi,ndio jeuri yetu,ndio Tamanio la mataifa jirani,ndio kila kitu kwetu watanzania Kama Taifa.

Serikali ya Rais Samia inafahamu kuwa ukiichezea na kuitelekeza bandari hiyo Ni sawa na kuuchezea uchumi wetu na Taifa letu,inafahamu ya kuwa ukiihujumu au kuitikisa au kuitoa kafara au kuishusha au kutoipa jicho la umakini Ni sawa na kuhujumu uchumi wa Taifa letu,Ni sawa na kuiangamiza nchi Na Taifa letu.

Bandari ya Dar es alaam Ni mahali ambapo vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama kuanzia JWTZ ,TISS na POLICE lazima vielekeze macho ,masikio na hisia zao zote pale Bandarini,Ni lazima pajae na Kufurika majasusi wetu kila eneo walioapa kwa viapo vikali vya kutoa jasho na Damu kuipigania na kuifia nchi na Taifa letu pale itakapo bidi katika kulitetea Taifa letu na watu wake.Ni mahali ambapo vyombo vyetu havipaswi kulala hata sekunde moja pasipo kujuwa au kuwa na taarifa juu ya Nini kimeingia nchini au kinatoka nchini kupitia bandari yetu,vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua bandari yetu ikihujumiwa ni sawa na kulihujumu na kuliangamiza Taifa letu kiuchumi na kuhatarisha usalama wa Taifa letu pendwa.

Vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua kuwa hata majirani zetu wanaitazama bandari yetu kwa jicho la wivu mkubwa Sana na la Vita ya kijasusi katika uchumi ,kwa kutambua kuwa ukiishusha bandari hiyo unakuwa umeishusha Tanzania kiuchumi na Hivyo kuidhoofisha kiuchumi na hata kiusalama.Hivyo lazima watu wetu wa vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama viwe kazini muda na wakati wote kuhakikisha kuwa Bandari yetu Ni salama na haupenyezwi mkono wowote katika kujaribu kuihujumu.

Hivyo napenda kuwaambia watanzania wenzangu kuwa zipuuzeni taarifa za upotoshaji zinazoenezwa na watu wenye maslahi yao binafsi, Rais wetu pamoja na wasaidizi wake hawawezi wakaichezea Bandari yetu.Sote tunatambua uzalendo wa Rais wetu kwa Taifa letu na nchi yetu,ndio maana mh Rais ameteua na kuwa na washauri wabobezi na nguli katika nyanja zote waliomzunguka katika kumpatia ushauri wa kitaalamu kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Rai yangu kwa wateule hasa mawaziri wote,Ni kuhakikisha kuwa wanakuwa wepesi kutoa ufafanuzi hadharani pale Jambo fulani linapokuwa limeleta sintofahamu katika jamii,lazima wawe wepesi wa kutoa maelezo ya kina yasiyo acha mashimo kwa wapotoshaji,kwa kufanya hivyo itasaidia kuzuia upotoshaji unaokuwa unaendelea na kuwachanganya na kuwapa hofu watanzania.kila mmoja kwa nafasi yake anapoona Wizara Yake imeguswa Ni lazima kutoka hadharani kutoa majibu,huo ndio uongozi,huo ndio utendaji,huo ndio uungwana na hiyo ndio njia ya kuliweka Taifa katika Hali ya utulivu na Amani.

Nawaombeni Sana viongozi wa serikali kufanya hivyo Kama ambavyo mh Rais amekuwa akiwasisitiza hadharani juu ya Jambo hili,msikae tu ofisini mpaka mkumbushwe na mh Rais au mpaka mambo yawe yamepotoshwa mpaka watu waanze kuamini upotoshaji kuwa Ni ukweli,fanyeni hivi kwa mambo yote katika kutoa ufafanuzi kwa wananchi ili kuziba mianya yote ya upotoshaji.

Elezeni kwa kina ,kwa vielelezo na Nyaraka muhimu katika kuwasilisha hoja zenu za ufafanuzi ,maana Rais wetu Ni muwazi na mwenye dhamira njema katika kuliongoza Taifa letu. Taarifa Zina nguvu na ili uwe na nguvu ni lazima uwe na Taarifa muhimu, wapeni Taarifa watanzania pale panapohitajika ili wengi waisemee serikali yetu kwa kurejea ufafanuzi wa serikali zidi ya wapotoshaji wachache.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Kwa pabde hili, Utakuwa umelambishwa asali na mama
 
Ndugu zangu watanzania,

Napenda kuwataarifu ya kuwa serikali ya Rais Samia Inatambua Umuhimu na upekee wa Bandari yetu ya Dar es salaam,Inatambua kuwa bandari hiyo ndio moyo wa uchumi wetu,ndio mboni ya Taifa letu kiuchumi,ndio Uti wa mgongo wa mapato yetu,ndio usalama wetu wa Taifa kiuchumi,ndio jeuri yetu,ndio Tamanio la mataifa jirani,ndio kila kitu kwetu watanzania Kama Taifa.

Serikali ya Rais Samia inafahamu kuwa ukiichezea na kuitelekeza bandari hiyo Ni sawa na kuuchezea uchumi wetu na Taifa letu,inafahamu ya kuwa ukiihujumu au kuitikisa au kuitoa kafara au kuishusha au kutoipa jicho la umakini Ni sawa na kuhujumu uchumi wa Taifa letu,Ni sawa na kuiangamiza nchi Na Taifa letu.

Bandari ya Dar es alaam Ni mahali ambapo vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama kuanzia JWTZ ,TISS na POLICE lazima vielekeze macho ,masikio na hisia zao zote pale Bandarini,Ni lazima pajae na Kufurika majasusi wetu kila eneo walioapa kwa viapo vikali vya kutoa jasho na Damu kuipigania na kuifia nchi na Taifa letu pale itakapo bidi katika kulitetea Taifa letu na watu wake.Ni mahali ambapo vyombo vyetu havipaswi kulala hata sekunde moja pasipo kujuwa au kuwa na taarifa juu ya Nini kimeingia nchini au kinatoka nchini kupitia bandari yetu,vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua bandari yetu ikihujumiwa ni sawa na kulihujumu na kuliangamiza Taifa letu kiuchumi na kuhatarisha usalama wa Taifa letu pendwa.

Vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua kuwa hata majirani zetu wanaitazama bandari yetu kwa jicho la wivu mkubwa Sana na la Vita ya kijasusi katika uchumi ,kwa kutambua kuwa ukiishusha bandari hiyo unakuwa umeishusha Tanzania kiuchumi na Hivyo kuidhoofisha kiuchumi na hata kiusalama.Hivyo lazima watu wetu wa vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama viwe kazini muda na wakati wote kuhakikisha kuwa Bandari yetu Ni salama na haupenyezwi mkono wowote katika kujaribu kuihujumu.

Hivyo napenda kuwaambia watanzania wenzangu kuwa zipuuzeni taarifa za upotoshaji zinazoenezwa na watu wenye maslahi yao binafsi, Rais wetu pamoja na wasaidizi wake hawawezi wakaichezea Bandari yetu.Sote tunatambua uzalendo wa Rais wetu kwa Taifa letu na nchi yetu,ndio maana mh Rais ameteua na kuwa na washauri wabobezi na nguli katika nyanja zote waliomzunguka katika kumpatia ushauri wa kitaalamu kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Rai yangu kwa wateule hasa mawaziri wote,Ni kuhakikisha kuwa wanakuwa wepesi kutoa ufafanuzi hadharani pale Jambo fulani linapokuwa limeleta sintofahamu katika jamii,lazima wawe wepesi wa kutoa maelezo ya kina yasiyo acha mashimo kwa wapotoshaji,kwa kufanya hivyo itasaidia kuzuia upotoshaji unaokuwa unaendelea na kuwachanganya na kuwapa hofu watanzania.kila mmoja kwa nafasi yake anapoona Wizara Yake imeguswa Ni lazima kutoka hadharani kutoa majibu,huo ndio uongozi,huo ndio utendaji,huo ndio uungwana na hiyo ndio njia ya kuliweka Taifa katika Hali ya utulivu na Amani.

Nawaombeni Sana viongozi wa serikali kufanya hivyo Kama ambavyo mh Rais amekuwa akiwasisitiza hadharani juu ya Jambo hili,msikae tu ofisini mpaka mkumbushwe na mh Rais au mpaka mambo yawe yamepotoshwa mpaka watu waanze kuamini upotoshaji kuwa Ni ukweli,fanyeni hivi kwa mambo yote katika kutoa ufafanuzi kwa wananchi ili kuziba mianya yote ya upotoshaji.

Elezeni kwa kina ,kwa vielelezo na Nyaraka muhimu katika kuwasilisha hoja zenu za ufafanuzi ,maana Rais wetu Ni muwazi na mwenye dhamira njema katika kuliongoza Taifa letu. Taarifa Zina nguvu na ili uwe na nguvu ni lazima uwe na Taarifa muhimu, wapeni Taarifa watanzania pale panapohitajika ili wengi waisemee serikali yetu kwa kurejea ufafanuzi wa serikali zidi ya wapotoshaji wachache.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Kwa hiyo Mama kule Dubai alienda kuwang'ong'a waarabu halafu akarudi,he he salamaleko.
 
Ndugu zangu watanzania,

Napenda kuwataarifu ya kuwa serikali ya Rais Samia Inatambua Umuhimu na upekee wa Bandari yetu ya Dar es salaam,Inatambua kuwa bandari hiyo ndio moyo wa uchumi wetu,ndio mboni ya Taifa letu kiuchumi,ndio Uti wa mgongo wa mapato yetu,ndio usalama wetu wa Taifa kiuchumi,ndio jeuri yetu,ndio Tamanio la mataifa jirani,ndio kila kitu kwetu watanzania Kama Taifa.

Serikali ya Rais Samia inafahamu kuwa ukiichezea na kuitelekeza bandari hiyo Ni sawa na kuuchezea uchumi wetu na Taifa letu,inafahamu ya kuwa ukiihujumu au kuitikisa au kuitoa kafara au kuishusha au kutoipa jicho la umakini Ni sawa na kuhujumu uchumi wa Taifa letu,Ni sawa na kuiangamiza nchi Na Taifa letu.

Bandari ya Dar es alaam Ni mahali ambapo vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama kuanzia JWTZ ,TISS na POLICE lazima vielekeze macho ,masikio na hisia zao zote pale Bandarini,Ni lazima pajae na Kufurika majasusi wetu kila eneo walioapa kwa viapo vikali vya kutoa jasho na Damu kuipigania na kuifia nchi na Taifa letu pale itakapo bidi katika kulitetea Taifa letu na watu wake.Ni mahali ambapo vyombo vyetu havipaswi kulala hata sekunde moja pasipo kujuwa au kuwa na taarifa juu ya Nini kimeingia nchini au kinatoka nchini kupitia bandari yetu,vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua bandari yetu ikihujumiwa ni sawa na kulihujumu na kuliangamiza Taifa letu kiuchumi na kuhatarisha usalama wa Taifa letu pendwa.

Vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua kuwa hata majirani zetu wanaitazama bandari yetu kwa jicho la wivu mkubwa Sana na la Vita ya kijasusi katika uchumi ,kwa kutambua kuwa ukiishusha bandari hiyo unakuwa umeishusha Tanzania kiuchumi na Hivyo kuidhoofisha kiuchumi na hata kiusalama.Hivyo lazima watu wetu wa vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama viwe kazini muda na wakati wote kuhakikisha kuwa Bandari yetu Ni salama na haupenyezwi mkono wowote katika kujaribu kuihujumu.

Hivyo napenda kuwaambia watanzania wenzangu kuwa zipuuzeni taarifa za upotoshaji zinazoenezwa na watu wenye maslahi yao binafsi, Rais wetu pamoja na wasaidizi wake hawawezi wakaichezea Bandari yetu.Sote tunatambua uzalendo wa Rais wetu kwa Taifa letu na nchi yetu,ndio maana mh Rais ameteua na kuwa na washauri wabobezi na nguli katika nyanja zote waliomzunguka katika kumpatia ushauri wa kitaalamu kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Rai yangu kwa wateule hasa mawaziri wote,Ni kuhakikisha kuwa wanakuwa wepesi kutoa ufafanuzi hadharani pale Jambo fulani linapokuwa limeleta sintofahamu katika jamii,lazima wawe wepesi wa kutoa maelezo ya kina yasiyo acha mashimo kwa wapotoshaji,kwa kufanya hivyo itasaidia kuzuia upotoshaji unaokuwa unaendelea na kuwachanganya na kuwapa hofu watanzania.kila mmoja kwa nafasi yake anapoona Wizara Yake imeguswa Ni lazima kutoka hadharani kutoa majibu,huo ndio uongozi,huo ndio utendaji,huo ndio uungwana na hiyo ndio njia ya kuliweka Taifa katika Hali ya utulivu na Amani.

Nawaombeni Sana viongozi wa serikali kufanya hivyo Kama ambavyo mh Rais amekuwa akiwasisitiza hadharani juu ya Jambo hili,msikae tu ofisini mpaka mkumbushwe na mh Rais au mpaka mambo yawe yamepotoshwa mpaka watu waanze kuamini upotoshaji kuwa Ni ukweli,fanyeni hivi kwa mambo yote katika kutoa ufafanuzi kwa wananchi ili kuziba mianya yote ya upotoshaji.

Elezeni kwa kina ,kwa vielelezo na Nyaraka muhimu katika kuwasilisha hoja zenu za ufafanuzi ,maana Rais wetu Ni muwazi na mwenye dhamira njema katika kuliongoza Taifa letu. Taarifa Zina nguvu na ili uwe na nguvu ni lazima uwe na Taarifa muhimu, wapeni Taarifa watanzania pale panapohitajika ili wengi waisemee serikali yetu kwa kurejea ufafanuzi wa serikali zidi ya wapotoshaji wachache.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Ni kweli lazima tupuuze upotoshaji wako huu.. wewe ni mzalendo wa Tumbo lako. Shame on you mad man
 
Ndugu zangu watanzania,

Napenda kuwataarifu ya kuwa serikali ya Rais Samia Inatambua Umuhimu na upekee wa Bandari yetu ya Dar es salaam,Inatambua kuwa bandari hiyo ndio moyo wa uchumi wetu,ndio mboni ya Taifa letu kiuchumi,ndio Uti wa mgongo wa mapato yetu,ndio usalama wetu wa Taifa kiuchumi,ndio jeuri yetu,ndio Tamanio la mataifa jirani,ndio kila kitu kwetu watanzania Kama Taifa.

Serikali ya Rais Samia inafahamu kuwa ukiichezea na kuitelekeza bandari hiyo Ni sawa na kuuchezea uchumi wetu na Taifa letu,inafahamu ya kuwa ukiihujumu au kuitikisa au kuitoa kafara au kuishusha au kutoipa jicho la umakini Ni sawa na kuhujumu uchumi wa Taifa letu,Ni sawa na kuiangamiza nchi Na Taifa letu.

Bandari ya Dar es alaam Ni mahali ambapo vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama kuanzia JWTZ ,TISS na POLICE lazima vielekeze macho ,masikio na hisia zao zote pale Bandarini,Ni lazima pajae na Kufurika majasusi wetu kila eneo walioapa kwa viapo vikali vya kutoa jasho na Damu kuipigania na kuifia nchi na Taifa letu pale itakapo bidi katika kulitetea Taifa letu na watu wake.Ni mahali ambapo vyombo vyetu havipaswi kulala hata sekunde moja pasipo kujuwa au kuwa na taarifa juu ya Nini kimeingia nchini au kinatoka nchini kupitia bandari yetu,vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua bandari yetu ikihujumiwa ni sawa na kulihujumu na kuliangamiza Taifa letu kiuchumi na kuhatarisha usalama wa Taifa letu pendwa.

Vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua kuwa hata majirani zetu wanaitazama bandari yetu kwa jicho la wivu mkubwa Sana na la Vita ya kijasusi katika uchumi ,kwa kutambua kuwa ukiishusha bandari hiyo unakuwa umeishusha Tanzania kiuchumi na Hivyo kuidhoofisha kiuchumi na hata kiusalama.Hivyo lazima watu wetu wa vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama viwe kazini muda na wakati wote kuhakikisha kuwa Bandari yetu Ni salama na haupenyezwi mkono wowote katika kujaribu kuihujumu.

Hivyo napenda kuwaambia watanzania wenzangu kuwa zipuuzeni taarifa za upotoshaji zinazoenezwa na watu wenye maslahi yao binafsi, Rais wetu pamoja na wasaidizi wake hawawezi wakaichezea Bandari yetu.Sote tunatambua uzalendo wa Rais wetu kwa Taifa letu na nchi yetu,ndio maana mh Rais ameteua na kuwa na washauri wabobezi na nguli katika nyanja zote waliomzunguka katika kumpatia ushauri wa kitaalamu kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Rai yangu kwa wateule hasa mawaziri wote,Ni kuhakikisha kuwa wanakuwa wepesi kutoa ufafanuzi hadharani pale Jambo fulani linapokuwa limeleta sintofahamu katika jamii,lazima wawe wepesi wa kutoa maelezo ya kina yasiyo acha mashimo kwa wapotoshaji,kwa kufanya hivyo itasaidia kuzuia upotoshaji unaokuwa unaendelea na kuwachanganya na kuwapa hofu watanzania.kila mmoja kwa nafasi yake anapoona Wizara Yake imeguswa Ni lazima kutoka hadharani kutoa majibu,huo ndio uongozi,huo ndio utendaji,huo ndio uungwana na hiyo ndio njia ya kuliweka Taifa katika Hali ya utulivu na Amani.

Nawaombeni Sana viongozi wa serikali kufanya hivyo Kama ambavyo mh Rais amekuwa akiwasisitiza hadharani juu ya Jambo hili,msikae tu ofisini mpaka mkumbushwe na mh Rais au mpaka mambo yawe yamepotoshwa mpaka watu waanze kuamini upotoshaji kuwa Ni ukweli,fanyeni hivi kwa mambo yote katika kutoa ufafanuzi kwa wananchi ili kuziba mianya yote ya upotoshaji.

Elezeni kwa kina ,kwa vielelezo na Nyaraka muhimu katika kuwasilisha hoja zenu za ufafanuzi ,maana Rais wetu Ni muwazi na mwenye dhamira njema katika kuliongoza Taifa letu. Taarifa Zina nguvu na ili uwe na nguvu ni lazima uwe na Taarifa muhimu, wapeni Taarifa watanzania pale panapohitajika ili wengi waisemee serikali yetu kwa kurejea ufafanuzi wa serikali zidi ya wapotoshaji wachache.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Wale wa bunge wa CCM hawawezi kukuelewa inamaana wewe una akili kuliko wabunge wa CCM
 
Ndugu zangu watanzania,

Napenda kuwataarifu ya kuwa serikali ya Rais Samia Inatambua Umuhimu na upekee wa Bandari yetu ya Dar es salaam,Inatambua kuwa bandari hiyo ndio moyo wa uchumi wetu,ndio mboni ya Taifa letu kiuchumi,ndio Uti wa mgongo wa mapato yetu,ndio usalama wetu wa Taifa kiuchumi,ndio jeuri yetu,ndio Tamanio la mataifa jirani,ndio kila kitu kwetu watanzania Kama Taifa.

Serikali ya Rais Samia inafahamu kuwa ukiichezea na kuitelekeza bandari hiyo Ni sawa na kuuchezea uchumi wetu na Taifa letu,inafahamu ya kuwa ukiihujumu au kuitikisa au kuitoa kafara au kuishusha au kutoipa jicho la umakini Ni sawa na kuhujumu uchumi wa Taifa letu,Ni sawa na kuiangamiza nchi Na Taifa letu.

Bandari ya Dar es alaam Ni mahali ambapo vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama kuanzia JWTZ ,TISS na POLICE lazima vielekeze macho ,masikio na hisia zao zote pale Bandarini,Ni lazima pajae na Kufurika majasusi wetu kila eneo walioapa kwa viapo vikali vya kutoa jasho na Damu kuipigania na kuifia nchi na Taifa letu pale itakapo bidi katika kulitetea Taifa letu na watu wake.Ni mahali ambapo vyombo vyetu havipaswi kulala hata sekunde moja pasipo kujuwa au kuwa na taarifa juu ya Nini kimeingia nchini au kinatoka nchini kupitia bandari yetu,vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua bandari yetu ikihujumiwa ni sawa na kulihujumu na kuliangamiza Taifa letu kiuchumi na kuhatarisha usalama wa Taifa letu pendwa.

Vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua kuwa hata majirani zetu wanaitazama bandari yetu kwa jicho la wivu mkubwa Sana na la Vita ya kijasusi katika uchumi ,kwa kutambua kuwa ukiishusha bandari hiyo unakuwa umeishusha Tanzania kiuchumi na Hivyo kuidhoofisha kiuchumi na hata kiusalama.Hivyo lazima watu wetu wa vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama viwe kazini muda na wakati wote kuhakikisha kuwa Bandari yetu Ni salama na haupenyezwi mkono wowote katika kujaribu kuihujumu.

Hivyo napenda kuwaambia watanzania wenzangu kuwa zipuuzeni taarifa za upotoshaji zinazoenezwa na watu wenye maslahi yao binafsi, Rais wetu pamoja na wasaidizi wake hawawezi wakaichezea Bandari yetu.Sote tunatambua uzalendo wa Rais wetu kwa Taifa letu na nchi yetu,ndio maana mh Rais ameteua na kuwa na washauri wabobezi na nguli katika nyanja zote waliomzunguka katika kumpatia ushauri wa kitaalamu kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Rai yangu kwa wateule hasa mawaziri wote,Ni kuhakikisha kuwa wanakuwa wepesi kutoa ufafanuzi hadharani pale Jambo fulani linapokuwa limeleta sintofahamu katika jamii,lazima wawe wepesi wa kutoa maelezo ya kina yasiyo acha mashimo kwa wapotoshaji,kwa kufanya hivyo itasaidia kuzuia upotoshaji unaokuwa unaendelea na kuwachanganya na kuwapa hofu watanzania.kila mmoja kwa nafasi yake anapoona Wizara Yake imeguswa Ni lazima kutoka hadharani kutoa majibu,huo ndio uongozi,huo ndio utendaji,huo ndio uungwana na hiyo ndio njia ya kuliweka Taifa katika Hali ya utulivu na Amani.

Nawaombeni Sana viongozi wa serikali kufanya hivyo Kama ambavyo mh Rais amekuwa akiwasisitiza hadharani juu ya Jambo hili,msikae tu ofisini mpaka mkumbushwe na mh Rais au mpaka mambo yawe yamepotoshwa mpaka watu waanze kuamini upotoshaji kuwa Ni ukweli,fanyeni hivi kwa mambo yote katika kutoa ufafanuzi kwa wananchi ili kuziba mianya yote ya upotoshaji.

Elezeni kwa kina ,kwa vielelezo na Nyaraka muhimu katika kuwasilisha hoja zenu za ufafanuzi ,maana Rais wetu Ni muwazi na mwenye dhamira njema katika kuliongoza Taifa letu. Taarifa Zina nguvu na ili uwe na nguvu ni lazima uwe na Taarifa muhimu, wapeni Taarifa watanzania pale panapohitajika ili wengi waisemee serikali yetu kwa kurejea ufafanuzi wa serikali zidi ya wapotoshaji wachache.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Hivyo vyombo vya usalama sio malaika,vinaongozwa na wapigsji TU,
Hivyo vyombo SI vilikywepo wakati wa skandali ya Richmond,meremeta,escrow,madini,mbuga?
Hakuna Jema ccm,bungeni,serikalini,kwenye vyombo vya usalama kote wamejaa wezi watupu
 
Hawa viongozi wangeondolewa Kinga, pili kungekuwa na sheria kwamba kiongozi yoyote atakayeliingiza chaka taifa iwe ni kwenye mikataba, miradi au ubadhirifu wowote adhabu iwe kunyongwa hadharani na mali zake kufilisiwa hapo ungeona kama kuna upuuzi kama huu wa bandari ungekuja.
 
Unaongea uongo kisa teuzi. Kuna mikataba gani ya maana tumewahi kuingia. Unakumbuka TRL ya wahindi na Netgroup solutions TANESCO? Leo yapo wapi? Acheni ujinga.
 
Ndugu zangu watanzania,

Napenda kuwataarifu ya kuwa serikali ya Rais Samia Inatambua Umuhimu na upekee wa Bandari yetu ya Dar es salaam,Inatambua kuwa bandari hiyo ndio moyo wa uchumi wetu,ndio mboni ya Taifa letu kiuchumi,ndio Uti wa mgongo wa mapato yetu,ndio usalama wetu wa Taifa kiuchumi,ndio jeuri yetu,ndio Tamanio la mataifa jirani,ndio kila kitu kwetu watanzania Kama Taifa.

Serikali ya Rais Samia inafahamu kuwa ukiichezea na kuitelekeza bandari hiyo Ni sawa na kuuchezea uchumi wetu na Taifa letu,inafahamu ya kuwa ukiihujumu au kuitikisa au kuitoa kafara au kuishusha au kutoipa jicho la umakini Ni sawa na kuhujumu uchumi wa Taifa letu,Ni sawa na kuiangamiza nchi Na Taifa letu.

Bandari ya Dar es alaam Ni mahali ambapo vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama kuanzia JWTZ ,TISS na POLICE lazima vielekeze macho ,masikio na hisia zao zote pale Bandarini,Ni lazima pajae na Kufurika majasusi wetu kila eneo walioapa kwa viapo vikali vya kutoa jasho na Damu kuipigania na kuifia nchi na Taifa letu pale itakapo bidi katika kulitetea Taifa letu na watu wake.Ni mahali ambapo vyombo vyetu havipaswi kulala hata sekunde moja pasipo kujuwa au kuwa na taarifa juu ya Nini kimeingia nchini au kinatoka nchini kupitia bandari yetu,vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua bandari yetu ikihujumiwa ni sawa na kulihujumu na kuliangamiza Taifa letu kiuchumi na kuhatarisha usalama wa Taifa letu pendwa.

Vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua kuwa hata majirani zetu wanaitazama bandari yetu kwa jicho la wivu mkubwa Sana na la Vita ya kijasusi katika uchumi ,kwa kutambua kuwa ukiishusha bandari hiyo unakuwa umeishusha Tanzania kiuchumi na Hivyo kuidhoofisha kiuchumi na hata kiusalama.Hivyo lazima watu wetu wa vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama viwe kazini muda na wakati wote kuhakikisha kuwa Bandari yetu Ni salama na haupenyezwi mkono wowote katika kujaribu kuihujumu.

Hivyo napenda kuwaambia watanzania wenzangu kuwa zipuuzeni taarifa za upotoshaji zinazoenezwa na watu wenye maslahi yao binafsi, Rais wetu pamoja na wasaidizi wake hawawezi wakaichezea Bandari yetu.Sote tunatambua uzalendo wa Rais wetu kwa Taifa letu na nchi yetu,ndio maana mh Rais ameteua na kuwa na washauri wabobezi na nguli katika nyanja zote waliomzunguka katika kumpatia ushauri wa kitaalamu kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Rai yangu kwa wateule hasa mawaziri wote,Ni kuhakikisha kuwa wanakuwa wepesi kutoa ufafanuzi hadharani pale Jambo fulani linapokuwa limeleta sintofahamu katika jamii,lazima wawe wepesi wa kutoa maelezo ya kina yasiyo acha mashimo kwa wapotoshaji,kwa kufanya hivyo itasaidia kuzuia upotoshaji unaokuwa unaendelea na kuwachanganya na kuwapa hofu watanzania.kila mmoja kwa nafasi yake anapoona Wizara Yake imeguswa Ni lazima kutoka hadharani kutoa majibu,huo ndio uongozi,huo ndio utendaji,huo ndio uungwana na hiyo ndio njia ya kuliweka Taifa katika Hali ya utulivu na Amani.

Nawaombeni Sana viongozi wa serikali kufanya hivyo Kama ambavyo mh Rais amekuwa akiwasisitiza hadharani juu ya Jambo hili,msikae tu ofisini mpaka mkumbushwe na mh Rais au mpaka mambo yawe yamepotoshwa mpaka watu waanze kuamini upotoshaji kuwa Ni ukweli,fanyeni hivi kwa mambo yote katika kutoa ufafanuzi kwa wananchi ili kuziba mianya yote ya upotoshaji.

Elezeni kwa kina ,kwa vielelezo na Nyaraka muhimu katika kuwasilisha hoja zenu za ufafanuzi ,maana Rais wetu Ni muwazi na mwenye dhamira njema katika kuliongoza Taifa letu. Taarifa Zina nguvu na ili uwe na nguvu ni lazima uwe na Taarifa muhimu, wapeni Taarifa watanzania pale panapohitajika ili wengi waisemee serikali yetu kwa kurejea ufafanuzi wa serikali zidi ya wapotoshaji wachache.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Usilishe ujinga wako ,wakati mkataba upo wazi
 
Ndugu zangu watanzania,

Napenda kuwataarifu ya kuwa serikali ya Rais Samia Inatambua Umuhimu na upekee wa Bandari yetu ya Dar es salaam,Inatambua kuwa bandari hiyo ndio moyo wa uchumi wetu,ndio mboni ya Taifa letu kiuchumi,ndio Uti wa mgongo wa mapato yetu,ndio usalama wetu wa Taifa kiuchumi,ndio jeuri yetu,ndio Tamanio la mataifa jirani,ndio kila kitu kwetu watanzania Kama Taifa.

Serikali ya Rais Samia inafahamu kuwa ukiichezea na kuitelekeza bandari hiyo Ni sawa na kuuchezea uchumi wetu na Taifa letu,inafahamu ya kuwa ukiihujumu au kuitikisa au kuitoa kafara au kuishusha au kutoipa jicho la umakini Ni sawa na kuhujumu uchumi wa Taifa letu,Ni sawa na kuiangamiza nchi Na Taifa letu.

Bandari ya Dar es alaam Ni mahali ambapo vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama kuanzia JWTZ ,TISS na POLICE lazima vielekeze macho ,masikio na hisia zao zote pale Bandarini,Ni lazima pajae na Kufurika majasusi wetu kila eneo walioapa kwa viapo vikali vya kutoa jasho na Damu kuipigania na kuifia nchi na Taifa letu pale itakapo bidi katika kulitetea Taifa letu na watu wake.Ni mahali ambapo vyombo vyetu havipaswi kulala hata sekunde moja pasipo kujuwa au kuwa na taarifa juu ya Nini kimeingia nchini au kinatoka nchini kupitia bandari yetu,vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua bandari yetu ikihujumiwa ni sawa na kulihujumu na kuliangamiza Taifa letu kiuchumi na kuhatarisha usalama wa Taifa letu pendwa.

Vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua kuwa hata majirani zetu wanaitazama bandari yetu kwa jicho la wivu mkubwa Sana na la Vita ya kijasusi katika uchumi ,kwa kutambua kuwa ukiishusha bandari hiyo unakuwa umeishusha Tanzania kiuchumi na Hivyo kuidhoofisha kiuchumi na hata kiusalama.Hivyo lazima watu wetu wa vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama viwe kazini muda na wakati wote kuhakikisha kuwa Bandari yetu Ni salama na haupenyezwi mkono wowote katika kujaribu kuihujumu.

Hivyo napenda kuwaambia watanzania wenzangu kuwa zipuuzeni taarifa za upotoshaji zinazoenezwa na watu wenye maslahi yao binafsi, Rais wetu pamoja na wasaidizi wake hawawezi wakaichezea Bandari yetu.Sote tunatambua uzalendo wa Rais wetu kwa Taifa letu na nchi yetu,ndio maana mh Rais ameteua na kuwa na washauri wabobezi na nguli katika nyanja zote waliomzunguka katika kumpatia ushauri wa kitaalamu kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Rai yangu kwa wateule hasa mawaziri wote,Ni kuhakikisha kuwa wanakuwa wepesi kutoa ufafanuzi hadharani pale Jambo fulani linapokuwa limeleta sintofahamu katika jamii,lazima wawe wepesi wa kutoa maelezo ya kina yasiyo acha mashimo kwa wapotoshaji,kwa kufanya hivyo itasaidia kuzuia upotoshaji unaokuwa unaendelea na kuwachanganya na kuwapa hofu watanzania.kila mmoja kwa nafasi yake anapoona Wizara Yake imeguswa Ni lazima kutoka hadharani kutoa majibu,huo ndio uongozi,huo ndio utendaji,huo ndio uungwana na hiyo ndio njia ya kuliweka Taifa katika Hali ya utulivu na Amani.

Nawaombeni Sana viongozi wa serikali kufanya hivyo Kama ambavyo mh Rais amekuwa akiwasisitiza hadharani juu ya Jambo hili,msikae tu ofisini mpaka mkumbushwe na mh Rais au mpaka mambo yawe yamepotoshwa mpaka watu waanze kuamini upotoshaji kuwa Ni ukweli,fanyeni hivi kwa mambo yote katika kutoa ufafanuzi kwa wananchi ili kuziba mianya yote ya upotoshaji.

Elezeni kwa kina ,kwa vielelezo na Nyaraka muhimu katika kuwasilisha hoja zenu za ufafanuzi ,maana Rais wetu Ni muwazi na mwenye dhamira njema katika kuliongoza Taifa letu. Taarifa Zina nguvu na ili uwe na nguvu ni lazima uwe na Taarifa muhimu, wapeni Taarifa watanzania pale panapohitajika ili wengi waisemee serikali yetu kwa kurejea ufafanuzi wa serikali zidi ya wapotoshaji wachache.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Lucas nafikiri sakata hili linaloendelea kuhusiana na kuridhia uendeshaji mpya wa bandari zetu ni kubwa sana kwako kulielewa kiasi kwamba kuanza kulifanyia propaganda.Sijui kama una ufahamu wa kina kuhusu masuala ya MoU na mikataba ya kitamataifa.

Ukiona jambo kama hilo linapokelewa kwa "public censure" na makundi ya watu wengi makini, basi ni lazima ujue mpo watu wa aina yako ambao mtakuwa "oblivious" kisa tu kutaka kujipendekeza ili mpate kuonekana tu kwa watawala, na wala si kwa kusukumwa na uzalendo.

Misingi iliyopo katika makubaliano ya awali ni nyeti na ya hatari, ndiyo maana unasikia kelele za tahadhari zikitolewa ili serikali iwe makini kabla ya kuingia kichwa kichwa ndani ya mkataba rasmi. Pia PW World haina rekodi nzuri katika mikataba mingine iliyokwisha ingia na nchi nyingine.

There is a saying, "A stitch in time saves nine" meaning that it is better to deal with a problem in its early stages, in order to prevent it getting worse.
 
Unaongea uongo kisa teuzi. Kuna mikataba gani ya maana tumewahi kuingia. Unakumbuka TRL ya wahindi na Netgroup solutions TANESCO? Leo yapo wapi? Acheni ujinga.
Tusiwe na wasiwasi maana mbele yetu yupo Rais Samia mzalendo wa kweli wa Taifa letu
 
Hivyo vyombo vya usalama sio malaika,vinaongozwa na wapigsji TU,
Hivyo vyombo SI vilikywepo wakati wa skandali ya Richmond,meremeta,escrow,madini,mbuga?
Hakuna Jema ccm,bungeni,serikalini,kwenye vyombo vya usalama kote wamejaa wezi watupu
Ukiona ufisadi mkubwa mkubwa unaibuliwa lazima ufahamu ya kuwa Ni kazi njema na ya kizalendo inayokuwa imefanywa na vyombo vyetu nyuma ya pazia kwa maslahi mapana ya Taifa letu
 
Ndugu zangu watanzania,

Napenda kuwataarifu ya kuwa serikali ya Rais Samia Inatambua Umuhimu na upekee wa Bandari yetu ya Dar es salaam,Inatambua kuwa bandari hiyo ndio moyo wa uchumi wetu,ndio mboni ya Taifa letu kiuchumi,ndio Uti wa mgongo wa mapato yetu,ndio usalama wetu wa Taifa kiuchumi,ndio jeuri yetu,ndio Tamanio la mataifa jirani,ndio kila kitu kwetu watanzania Kama Taifa.

Serikali ya Rais Samia inafahamu kuwa ukiichezea na kuitelekeza bandari hiyo Ni sawa na kuuchezea uchumi wetu na Taifa letu,inafahamu ya kuwa ukiihujumu au kuitikisa au kuitoa kafara au kuishusha au kutoipa jicho la umakini Ni sawa na kuhujumu uchumi wa Taifa letu,Ni sawa na kuiangamiza nchi Na Taifa letu.

Bandari ya Dar es alaam Ni mahali ambapo vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama kuanzia JWTZ ,TISS na POLICE lazima vielekeze macho ,masikio na hisia zao zote pale Bandarini,Ni lazima pajae na Kufurika majasusi wetu kila eneo walioapa kwa viapo vikali vya kutoa jasho na Damu kuipigania na kuifia nchi na Taifa letu pale itakapo bidi katika kulitetea Taifa letu na watu wake.Ni mahali ambapo vyombo vyetu havipaswi kulala hata sekunde moja pasipo kujuwa au kuwa na taarifa juu ya Nini kimeingia nchini au kinatoka nchini kupitia bandari yetu,vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua bandari yetu ikihujumiwa ni sawa na kulihujumu na kuliangamiza Taifa letu kiuchumi na kuhatarisha usalama wa Taifa letu pendwa.

Vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua kuwa hata majirani zetu wanaitazama bandari yetu kwa jicho la wivu mkubwa Sana na la Vita ya kijasusi katika uchumi ,kwa kutambua kuwa ukiishusha bandari hiyo unakuwa umeishusha Tanzania kiuchumi na Hivyo kuidhoofisha kiuchumi na hata kiusalama.Hivyo lazima watu wetu wa vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama viwe kazini muda na wakati wote kuhakikisha kuwa Bandari yetu Ni salama na haupenyezwi mkono wowote katika kujaribu kuihujumu.

Hivyo napenda kuwaambia watanzania wenzangu kuwa zipuuzeni taarifa za upotoshaji zinazoenezwa na watu wenye maslahi yao binafsi, Rais wetu pamoja na wasaidizi wake hawawezi wakaichezea Bandari yetu.Sote tunatambua uzalendo wa Rais wetu kwa Taifa letu na nchi yetu,ndio maana mh Rais ameteua na kuwa na washauri wabobezi na nguli katika nyanja zote waliomzunguka katika kumpatia ushauri wa kitaalamu kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Rai yangu kwa wateule hasa mawaziri wote,Ni kuhakikisha kuwa wanakuwa wepesi kutoa ufafanuzi hadharani pale Jambo fulani linapokuwa limeleta sintofahamu katika jamii,lazima wawe wepesi wa kutoa maelezo ya kina yasiyo acha mashimo kwa wapotoshaji,kwa kufanya hivyo itasaidia kuzuia upotoshaji unaokuwa unaendelea na kuwachanganya na kuwapa hofu watanzania.kila mmoja kwa nafasi yake anapoona Wizara Yake imeguswa Ni lazima kutoka hadharani kutoa majibu,huo ndio uongozi,huo ndio utendaji,huo ndio uungwana na hiyo ndio njia ya kuliweka Taifa katika Hali ya utulivu na Amani.

Nawaombeni Sana viongozi wa serikali kufanya hivyo Kama ambavyo mh Rais amekuwa akiwasisitiza hadharani juu ya Jambo hili,msikae tu ofisini mpaka mkumbushwe na mh Rais au mpaka mambo yawe yamepotoshwa mpaka watu waanze kuamini upotoshaji kuwa Ni ukweli,fanyeni hivi kwa mambo yote katika kutoa ufafanuzi kwa wananchi ili kuziba mianya yote ya upotoshaji.

Elezeni kwa kina ,kwa vielelezo na Nyaraka muhimu katika kuwasilisha hoja zenu za ufafanuzi ,maana Rais wetu Ni muwazi na mwenye dhamira njema katika kuliongoza Taifa letu. Taarifa Zina nguvu na ili uwe na nguvu ni lazima uwe na Taarifa muhimu, wapeni Taarifa watanzania pale panapohitajika ili wengi waisemee serikali yetu kwa kurejea ufafanuzi wa serikali zidi ya wapotoshaji wachache.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Peleka ujinga katika familia yako
 
Ndugu zangu watanzania,

Napenda kuwataarifu ya kuwa serikali ya Rais Samia Inatambua Umuhimu na upekee wa Bandari yetu ya Dar es salaam,Inatambua kuwa bandari hiyo ndio moyo wa uchumi wetu,ndio mboni ya Taifa letu kiuchumi,ndio Uti wa mgongo wa mapato yetu,ndio usalama wetu wa Taifa kiuchumi,ndio jeuri yetu,ndio Tamanio la mataifa jirani,ndio kila kitu kwetu watanzania Kama Taifa.

Serikali ya Rais Samia inafahamu kuwa ukiichezea na kuitelekeza bandari hiyo Ni sawa na kuuchezea uchumi wetu na Taifa letu,inafahamu ya kuwa ukiihujumu au kuitikisa au kuitoa kafara au kuishusha au kutoipa jicho la umakini Ni sawa na kuhujumu uchumi wa Taifa letu,Ni sawa na kuiangamiza nchi Na Taifa letu.

Bandari ya Dar es alaam Ni mahali ambapo vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama kuanzia JWTZ ,TISS na POLICE lazima vielekeze macho ,masikio na hisia zao zote pale Bandarini,Ni lazima pajae na Kufurika majasusi wetu kila eneo walioapa kwa viapo vikali vya kutoa jasho na Damu kuipigania na kuifia nchi na Taifa letu pale itakapo bidi katika kulitetea Taifa letu na watu wake.Ni mahali ambapo vyombo vyetu havipaswi kulala hata sekunde moja pasipo kujuwa au kuwa na taarifa juu ya Nini kimeingia nchini au kinatoka nchini kupitia bandari yetu,vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua bandari yetu ikihujumiwa ni sawa na kulihujumu na kuliangamiza Taifa letu kiuchumi na kuhatarisha usalama wa Taifa letu pendwa.

Vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua kuwa hata majirani zetu wanaitazama bandari yetu kwa jicho la wivu mkubwa Sana na la Vita ya kijasusi katika uchumi ,kwa kutambua kuwa ukiishusha bandari hiyo unakuwa umeishusha Tanzania kiuchumi na Hivyo kuidhoofisha kiuchumi na hata kiusalama.Hivyo lazima watu wetu wa vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama viwe kazini muda na wakati wote kuhakikisha kuwa Bandari yetu Ni salama na haupenyezwi mkono wowote katika kujaribu kuihujumu.

Hivyo napenda kuwaambia watanzania wenzangu kuwa zipuuzeni taarifa za upotoshaji zinazoenezwa na watu wenye maslahi yao binafsi, Rais wetu pamoja na wasaidizi wake hawawezi wakaichezea Bandari yetu.Sote tunatambua uzalendo wa Rais wetu kwa Taifa letu na nchi yetu,ndio maana mh Rais ameteua na kuwa na washauri wabobezi na nguli katika nyanja zote waliomzunguka katika kumpatia ushauri wa kitaalamu kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Rai yangu kwa wateule hasa mawaziri wote,Ni kuhakikisha kuwa wanakuwa wepesi kutoa ufafanuzi hadharani pale Jambo fulani linapokuwa limeleta sintofahamu katika jamii,lazima wawe wepesi wa kutoa maelezo ya kina yasiyo acha mashimo kwa wapotoshaji,kwa kufanya hivyo itasaidia kuzuia upotoshaji unaokuwa unaendelea na kuwachanganya na kuwapa hofu watanzania.kila mmoja kwa nafasi yake anapoona Wizara Yake imeguswa Ni lazima kutoka hadharani kutoa majibu,huo ndio uongozi,huo ndio utendaji,huo ndio uungwana na hiyo ndio njia ya kuliweka Taifa katika Hali ya utulivu na Amani.

Nawaombeni Sana viongozi wa serikali kufanya hivyo Kama ambavyo mh Rais amekuwa akiwasisitiza hadharani juu ya Jambo hili,msikae tu ofisini mpaka mkumbushwe na mh Rais au mpaka mambo yawe yamepotoshwa mpaka watu waanze kuamini upotoshaji kuwa Ni ukweli,fanyeni hivi kwa mambo yote katika kutoa ufafanuzi kwa wananchi ili kuziba mianya yote ya upotoshaji.

Elezeni kwa kina ,kwa vielelezo na Nyaraka muhimu katika kuwasilisha hoja zenu za ufafanuzi ,maana Rais wetu Ni muwazi na mwenye dhamira njema katika kuliongoza Taifa letu. Taarifa Zina nguvu na ili uwe na nguvu ni lazima uwe na Taarifa muhimu, wapeni Taarifa watanzania pale panapohitajika ili wengi waisemee serikali yetu kwa kurejea ufafanuzi wa serikali zidi ya wapotoshaji wachache.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Labda tukupuuze wewe na serikali.
 
Back
Top Bottom