Serikali inatambua umuhimu wa Bandari ya Dar, haiwezi ikaibinafsisha. Puuzeni upotoshaji

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
15,444
9,820
Ndugu zangu watanzania,

Napenda kuwataarifu ya kuwa serikali ya Rais Samia Inatambua Umuhimu na upekee wa Bandari yetu ya Dar es salaam,Inatambua kuwa bandari hiyo ndio moyo wa uchumi wetu,ndio mboni ya Taifa letu kiuchumi,ndio Uti wa mgongo wa mapato yetu,ndio usalama wetu wa Taifa kiuchumi,ndio jeuri yetu,ndio Tamanio la mataifa jirani,ndio kila kitu kwetu watanzania Kama Taifa.

Serikali ya Rais Samia inafahamu kuwa ukiichezea na kuitelekeza bandari hiyo Ni sawa na kuuchezea uchumi wetu na Taifa letu,inafahamu ya kuwa ukiihujumu au kuitikisa au kuitoa kafara au kuishusha au kutoipa jicho la umakini Ni sawa na kuhujumu uchumi wa Taifa letu,Ni sawa na kuiangamiza nchi Na Taifa letu.

Bandari ya Dar es alaam Ni mahali ambapo vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama kuanzia JWTZ ,TISS na POLICE lazima vielekeze macho ,masikio na hisia zao zote pale Bandarini,Ni lazima pajae na Kufurika majasusi wetu kila eneo walioapa kwa viapo vikali vya kutoa jasho na Damu kuipigania na kuifia nchi na Taifa letu pale itakapo bidi katika kulitetea Taifa letu na watu wake.Ni mahali ambapo vyombo vyetu havipaswi kulala hata sekunde moja pasipo kujuwa au kuwa na taarifa juu ya Nini kimeingia nchini au kinatoka nchini kupitia bandari yetu,vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua bandari yetu ikihujumiwa ni sawa na kulihujumu na kuliangamiza Taifa letu kiuchumi na kuhatarisha usalama wa Taifa letu pendwa.

Vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua kuwa hata majirani zetu wanaitazama bandari yetu kwa jicho la wivu mkubwa Sana na la Vita ya kijasusi katika uchumi ,kwa kutambua kuwa ukiishusha bandari hiyo unakuwa umeishusha Tanzania kiuchumi na Hivyo kuidhoofisha kiuchumi na hata kiusalama.Hivyo lazima watu wetu wa vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama viwe kazini muda na wakati wote kuhakikisha kuwa Bandari yetu Ni salama na haupenyezwi mkono wowote katika kujaribu kuihujumu.

Hivyo napenda kuwaambia watanzania wenzangu kuwa zipuuzeni taarifa za upotoshaji zinazoenezwa na watu wenye maslahi yao binafsi, Rais wetu pamoja na wasaidizi wake hawawezi wakaichezea Bandari yetu.Sote tunatambua uzalendo wa Rais wetu kwa Taifa letu na nchi yetu,ndio maana mh Rais ameteua na kuwa na washauri wabobezi na nguli katika nyanja zote waliomzunguka katika kumpatia ushauri wa kitaalamu kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Rai yangu kwa wateule hasa mawaziri wote,Ni kuhakikisha kuwa wanakuwa wepesi kutoa ufafanuzi hadharani pale Jambo fulani linapokuwa limeleta sintofahamu katika jamii,lazima wawe wepesi wa kutoa maelezo ya kina yasiyo acha mashimo kwa wapotoshaji,kwa kufanya hivyo itasaidia kuzuia upotoshaji unaokuwa unaendelea na kuwachanganya na kuwapa hofu watanzania.kila mmoja kwa nafasi yake anapoona Wizara Yake imeguswa Ni lazima kutoka hadharani kutoa majibu,huo ndio uongozi,huo ndio utendaji,huo ndio uungwana na hiyo ndio njia ya kuliweka Taifa katika Hali ya utulivu na Amani.

Nawaombeni Sana viongozi wa serikali kufanya hivyo Kama ambavyo mh Rais amekuwa akiwasisitiza hadharani juu ya Jambo hili,msikae tu ofisini mpaka mkumbushwe na mh Rais au mpaka mambo yawe yamepotoshwa mpaka watu waanze kuamini upotoshaji kuwa Ni ukweli,fanyeni hivi kwa mambo yote katika kutoa ufafanuzi kwa wananchi ili kuziba mianya yote ya upotoshaji.

Elezeni kwa kina ,kwa vielelezo na Nyaraka muhimu katika kuwasilisha hoja zenu za ufafanuzi ,maana Rais wetu Ni muwazi na mwenye dhamira njema katika kuliongoza Taifa letu. Taarifa Zina nguvu na ili uwe na nguvu ni lazima uwe na Taarifa muhimu, wapeni Taarifa watanzania pale panapohitajika ili wengi waisemee serikali yetu kwa kurejea ufafanuzi wa serikali zidi ya wapotoshaji wachache.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
 
Ndugu zangu watanzania,

Napenda kuwataarifu ya kuwa serikali ya Rais Samia Inatambua Umuhimu na upekee wa Bandari yetu ya Dar es salaam,Inatambua kuwa bandari hiyo ndio moyo wa uchumi wetu,ndio mboni ya Taifa letu kiuchumi,ndio UTI wa mgongo wa mapato yetu,ndio usalama wetu wa Taifa kiuchumi,ndio jeuri yetu,ndio Tamanio la mataifa jirani,ndio kila kitu kwetu watanzania Kama Taifa.

Serikali ya Rais Samia inafahamu kuwa ukiichezea na kuitelekeza bandari hiyo Ni sawa na kuuchezea uchumi wetu na Taifa letu,inafahamu ya kuwa ukiihujumu au kuitikisa au kuitoa kafara au kuishusha au kutoipa jicho la umakini Ni sawa na kuhujumu uchumi wa Taifa letu,Ni sawa na kuiangamiza nchi Na Taifa letu.

Bandari ya Daresalaam Ni mahali ambapo vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama kuanzia JWTZ ,TISS na POLICE lazima vielekeze macho ,masikio na hisia zao zote pale Bandarini,Ni lazima pajae na Kufutika majasusi wetu kila eneo walioapa kwa viapo vikali vya kutoa jasho na Damu kuipigania na kuifia nchi na Taifa letu pale itakapo bidi katika kulitetea Taifa letu na watu wake.Ni mahali ambapo vyombo vyetu havipaswi kulala hata sekunde moja pasipo kujuwa Nini kimeingia nchini au kinatoka nchini kupitia bandari yetu,vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua bandari yetu ikihujumiwa ni sawa na kulihujumu na kuliangamiza Taifa letu kiuchumi na kuhatarisha usalama wa Taifa letu pendwa.

Vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua kuwa hata majirani zetu wanaitazama bandari yetu kwa jicho la wivu mkubwa Sana na la Vita ya kijasusi katika uchumi kwa kutambua kuwa ukiishusha bandari hiyo unakuwa umeishusha Tanzania kiuchumi na Hivyo kuidhoofisha kiuchumi na hata kiusalama.Hivyo lazima watu wetu wa vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama viwe kazini muda na wakati wote kuhakikisha kuwa Bandari yetu Ni salama na haupenyezwi mkono wowote katika kujaribu kuihujumu.

Hivyo napenda kuwaambia watanzania wenzangu kuwa zipuuzeni taarifa za upotoshaji zinazoenezwa na watu wenye maslahi yao binafsi, Rais wetu pamoja nawasaidizi wake hawawezi wakaichezea Bandari yetu.Sote tunatambua uzalendo wa Rais wetu kwa Taifa letu na nchi yetu,ndio maana mh Rais ameteua na kuwa na washauri wabobezi na nguli katika nyanja zote waliomzunguka katika kumpatia ushauri wa kitaalamu kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Rai yangu kwa wateule hasa mawaziri wote,Ni kuhakikisha kuwa wanakuwa wepesi kutoa ufafanuzi hadharani pale Jambo fulani kunapokuwa limeleta sintofahamu katika jamii,lazima wawe wepesi wa kutoa maelezo ya kina yasiyo acha mashimo kwa wapotoshaji,kwa kufanya hivyo itasaidia kuzuia upotoshaji unaokuwa unaendelea na kuwachanganya na kuwapa hofu watanzania.kila mmoja kwa nafasi yake anapoona Wizara Yake imeguswa Ni lazima kutoka hadharani kutoa majibu,huo ndio uongozi,huo ndio utendaji,huo ndio uungwana na hiyo ndio njia ya kuliweka Taifa katika Hali ya utulivu na Amani.

Nawaombeni Sana viongozi wa serikali kufanya hivyo Kama ambayo mh Rais amekuwa akiwasisitiza juu ya Jambo hili,msikae tu ofisini mpaka mkumbushwe na mh Rais au mpaka mambo yawe yanepotoshwa mpaka watu waanze kuamini upotoshaji kuwa Ni ukweli,fanyeni hivi kwa mambo yote katika kutoa ufafanuzi kwa wananchi ili kuziba mianya yote ya upotoshaji.

Elezeni kwa kina ,kwa vielelezo na Nyaraka muhimu katika kuwasilisha hoja zenu za ufafanuzi maana Rais wetu Ni muwazi na mwenye dhamira njema katika kuliongoza Taifa letu. Taarifa Zina nguvu na ili uwe na nguvu ni lazima uwe na Taarifa muhimu, wapeni Taarifa watanzania pale panapohitajika ili wengi waisemee serikali yetu kwa kurejea ufafanuzi wa serikali zidi ya wapotoshaji wachache.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Tupuuze nini kama mwekezaji amehaid mara nne ya pesa mnayotoa nyie wazawa tena kwa wafanyakazi pungufu nyie mpo zaid ya 2000 yeye anahitaj watu 600 na atazalisha mara nne yenu kwa serikal maana yake nini yeye anapata mara kumi ya mnachopata nyie kwann wasipewe ???? Mnaiba mpka mnajiibia na nyie huu ni upuuzi wapewe tu
 
We Mluga luga unatuchosha tu na migazeti yako mireefu wakati huna unalolijua.
We unatafuta nitoke vp...baasi. Nchi inauzwa na genge la wahuni we unaendekeza njaa zako ebo, kuwa mzalendo...pale kijijini kwenu hauko peke yako!.
 
Nina shaka na uzalendo wako,

Je, Kuna sehemu ilitangazwa tenda ya wazi kuhusu huo uwekezaji?

Je, hao waarabu wana uzoefu/mapungufu yao yakoje kwenye nchi walizowekeza?

Kwanini mkataba unafichwafichwa ihali sio wa Siri Kuna agenda Gani?
 
Ndugu zangu watanzania,

Napenda kuwataarifu ya kuwa serikali ya Rais Samia Inatambua Umuhimu na upekee wa Bandari yetu ya Dar es salaam,Inatambua kuwa bandari hiyo ndio moyo wa uchumi wetu,ndio mboni ya Taifa letu kiuchumi,ndio Uti wa mgongo wa mapato yetu,ndio usalama wetu wa Taifa kiuchumi,ndio jeuri yetu,ndio Tamanio la mataifa jirani,ndio kila kitu kwetu watanzania Kama Taifa.

Serikali ya Rais Samia inafahamu kuwa ukiichezea na kuitelekeza bandari hiyo Ni sawa na kuuchezea uchumi wetu na Taifa letu,inafahamu ya kuwa ukiihujumu au kuitikisa au kuitoa kafara au kuishusha au kutoipa jicho la umakini Ni sawa na kuhujumu uchumi wa Taifa letu,Ni sawa na kuiangamiza nchi Na Taifa letu.

Bandari ya Dar es alaam Ni mahali ambapo vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama kuanzia JWTZ ,TISS na POLICE lazima vielekeze macho ,masikio na hisia zao zote pale Bandarini,Ni lazima pajae na Kufurika majasusi wetu kila eneo walioapa kwa viapo vikali vya kutoa jasho na Damu kuipigania na kuifia nchi na Taifa letu pale itakapo bidi katika kulitetea Taifa letu na watu wake.Ni mahali ambapo vyombo vyetu havipaswi kulala hata sekunde moja pasipo kujuwa au kuwa na taarifa juu ya Nini kimeingia nchini au kinatoka nchini kupitia bandari yetu,vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua bandari yetu ikihujumiwa ni sawa na kulihujumu na kuliangamiza Taifa letu kiuchumi na kuhatarisha usalama wa Taifa letu pendwa.

Vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua kuwa hata majirani zetu wanaitazama bandari yetu kwa jicho la wivu mkubwa Sana na la Vita ya kijasusi katika uchumi ,kwa kutambua kuwa ukiishusha bandari hiyo unakuwa umeishusha Tanzania kiuchumi na Hivyo kuidhoofisha kiuchumi na hata kiusalama.Hivyo lazima watu wetu wa vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama viwe kazini muda na wakati wote kuhakikisha kuwa Bandari yetu Ni salama na haupenyezwi mkono wowote katika kujaribu kuihujumu.

Hivyo napenda kuwaambia watanzania wenzangu kuwa zipuuzeni taarifa za upotoshaji zinazoenezwa na watu wenye maslahi yao binafsi, Rais wetu pamoja na wasaidizi wake hawawezi wakaichezea Bandari yetu.Sote tunatambua uzalendo wa Rais wetu kwa Taifa letu na nchi yetu,ndio maana mh Rais ameteua na kuwa na washauri wabobezi na nguli katika nyanja zote waliomzunguka katika kumpatia ushauri wa kitaalamu kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Rai yangu kwa wateule hasa mawaziri wote,Ni kuhakikisha kuwa wanakuwa wepesi kutoa ufafanuzi hadharani pale Jambo fulani linapokuwa limeleta sintofahamu katika jamii,lazima wawe wepesi wa kutoa maelezo ya kina yasiyo acha mashimo kwa wapotoshaji,kwa kufanya hivyo itasaidia kuzuia upotoshaji unaokuwa unaendelea na kuwachanganya na kuwapa hofu watanzania.kila mmoja kwa nafasi yake anapoona Wizara Yake imeguswa Ni lazima kutoka hadharani kutoa majibu,huo ndio uongozi,huo ndio utendaji,huo ndio uungwana na hiyo ndio njia ya kuliweka Taifa katika Hali ya utulivu na Amani.

Nawaombeni Sana viongozi wa serikali kufanya hivyo Kama ambavyo mh Rais amekuwa akiwasisitiza hadharani juu ya Jambo hili,msikae tu ofisini mpaka mkumbushwe na mh Rais au mpaka mambo yawe yamepotoshwa mpaka watu waanze kuamini upotoshaji kuwa Ni ukweli,fanyeni hivi kwa mambo yote katika kutoa ufafanuzi kwa wananchi ili kuziba mianya yote ya upotoshaji.

Elezeni kwa kina ,kwa vielelezo na Nyaraka muhimu katika kuwasilisha hoja zenu za ufafanuzi ,maana Rais wetu Ni muwazi na mwenye dhamira njema katika kuliongoza Taifa letu. Taarifa Zina nguvu na ili uwe na nguvu ni lazima uwe na Taarifa muhimu, wapeni Taarifa watanzania pale panapohitajika ili wengi waisemee serikali yetu kwa kurejea ufafanuzi wa serikali zidi ya wapotoshaji wachache.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.

IMG_8001.jpg
 
Ndugu zangu watanzania,

Napenda kuwataarifu ya kuwa serikali ya Rais Samia Inatambua Umuhimu na upekee wa Bandari yetu ya Dar es salaam,Inatambua kuwa bandari hiyo ndio moyo wa uchumi wetu,ndio mboni ya Taifa letu kiuchumi,ndio Uti wa mgongo wa mapato yetu,ndio usalama wetu wa Taifa kiuchumi,ndio jeuri yetu,ndio Tamanio la mataifa jirani,ndio kila kitu kwetu watanzania Kama Taifa.

Serikali ya Rais Samia inafahamu kuwa ukiichezea na kuitelekeza bandari hiyo Ni sawa na kuuchezea uchumi wetu na Taifa letu,inafahamu ya kuwa ukiihujumu au kuitikisa au kuitoa kafara au kuishusha au kutoipa jicho la umakini Ni sawa na kuhujumu uchumi wa Taifa letu,Ni sawa na kuiangamiza nchi Na Taifa letu.

Bandari ya Dar es alaam Ni mahali ambapo vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama kuanzia JWTZ ,TISS na POLICE lazima vielekeze macho ,masikio na hisia zao zote pale Bandarini,Ni lazima pajae na Kufurika majasusi wetu kila eneo walioapa kwa viapo vikali vya kutoa jasho na Damu kuipigania na kuifia nchi na Taifa letu pale itakapo bidi katika kulitetea Taifa letu na watu wake.Ni mahali ambapo vyombo vyetu havipaswi kulala hata sekunde moja pasipo kujuwa au kuwa na taarifa juu ya Nini kimeingia nchini au kinatoka nchini kupitia bandari yetu,vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua bandari yetu ikihujumiwa ni sawa na kulihujumu na kuliangamiza Taifa letu kiuchumi na kuhatarisha usalama wa Taifa letu pendwa.

Vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua kuwa hata majirani zetu wanaitazama bandari yetu kwa jicho la wivu mkubwa Sana na la Vita ya kijasusi katika uchumi ,kwa kutambua kuwa ukiishusha bandari hiyo unakuwa umeishusha Tanzania kiuchumi na Hivyo kuidhoofisha kiuchumi na hata kiusalama.Hivyo lazima watu wetu wa vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama viwe kazini muda na wakati wote kuhakikisha kuwa Bandari yetu Ni salama na haupenyezwi mkono wowote katika kujaribu kuihujumu.

Hivyo napenda kuwaambia watanzania wenzangu kuwa zipuuzeni taarifa za upotoshaji zinazoenezwa na watu wenye maslahi yao binafsi, Rais wetu pamoja na wasaidizi wake hawawezi wakaichezea Bandari yetu.Sote tunatambua uzalendo wa Rais wetu kwa Taifa letu na nchi yetu,ndio maana mh Rais ameteua na kuwa na washauri wabobezi na nguli katika nyanja zote waliomzunguka katika kumpatia ushauri wa kitaalamu kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Rai yangu kwa wateule hasa mawaziri wote,Ni kuhakikisha kuwa wanakuwa wepesi kutoa ufafanuzi hadharani pale Jambo fulani linapokuwa limeleta sintofahamu katika jamii,lazima wawe wepesi wa kutoa maelezo ya kina yasiyo acha mashimo kwa wapotoshaji,kwa kufanya hivyo itasaidia kuzuia upotoshaji unaokuwa unaendelea na kuwachanganya na kuwapa hofu watanzania.kila mmoja kwa nafasi yake anapoona Wizara Yake imeguswa Ni lazima kutoka hadharani kutoa majibu,huo ndio uongozi,huo ndio utendaji,huo ndio uungwana na hiyo ndio njia ya kuliweka Taifa katika Hali ya utulivu na Amani.

Nawaombeni Sana viongozi wa serikali kufanya hivyo Kama ambavyo mh Rais amekuwa akiwasisitiza hadharani juu ya Jambo hili,msikae tu ofisini mpaka mkumbushwe na mh Rais au mpaka mambo yawe yamepotoshwa mpaka watu waanze kuamini upotoshaji kuwa Ni ukweli,fanyeni hivi kwa mambo yote katika kutoa ufafanuzi kwa wananchi ili kuziba mianya yote ya upotoshaji.

Elezeni kwa kina ,kwa vielelezo na Nyaraka muhimu katika kuwasilisha hoja zenu za ufafanuzi ,maana Rais wetu Ni muwazi na mwenye dhamira njema katika kuliongoza Taifa letu. Taarifa Zina nguvu na ili uwe na nguvu ni lazima uwe na Taarifa muhimu, wapeni Taarifa watanzania pale panapohitajika ili wengi waisemee serikali yetu kwa kurejea ufafanuzi wa serikali zidi ya wapotoshaji wachache.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Umefanya vema kuweka namba ya simu. Ili nafasi zikitokea iwe rahisi Kwa mawasiliano
 
Ndugu zangu watanzania,

Napenda kuwataarifu ya kuwa serikali ya Rais Samia Inatambua Umuhimu na upekee wa Bandari yetu ya Dar es salaam,Inatambua kuwa bandari hiyo ndio moyo wa uchumi wetu,ndio mboni ya Taifa letu kiuchumi,ndio Uti wa mgongo wa mapato yetu,ndio usalama wetu wa Taifa kiuchumi,ndio jeuri yetu,ndio Tamanio la mataifa jirani,ndio kila kitu kwetu watanzania Kama Taifa.

Serikali ya Rais Samia inafahamu kuwa ukiichezea na kuitelekeza bandari hiyo Ni sawa na kuuchezea uchumi wetu na Taifa letu,inafahamu ya kuwa ukiihujumu au kuitikisa au kuitoa kafara au kuishusha au kutoipa jicho la umakini Ni sawa na kuhujumu uchumi wa Taifa letu,Ni sawa na kuiangamiza nchi Na Taifa letu.

Bandari ya Dar es alaam Ni mahali ambapo vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama kuanzia JWTZ ,TISS na POLICE lazima vielekeze macho ,masikio na hisia zao zote pale Bandarini,Ni lazima pajae na Kufurika majasusi wetu kila eneo walioapa kwa viapo vikali vya kutoa jasho na Damu kuipigania na kuifia nchi na Taifa letu pale itakapo bidi katika kulitetea Taifa letu na watu wake.Ni mahali ambapo vyombo vyetu havipaswi kulala hata sekunde moja pasipo kujuwa au kuwa na taarifa juu ya Nini kimeingia nchini au kinatoka nchini kupitia bandari yetu,vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua bandari yetu ikihujumiwa ni sawa na kulihujumu na kuliangamiza Taifa letu kiuchumi na kuhatarisha usalama wa Taifa letu pendwa.

Vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua kuwa hata majirani zetu wanaitazama bandari yetu kwa jicho la wivu mkubwa Sana na la Vita ya kijasusi katika uchumi ,kwa kutambua kuwa ukiishusha bandari hiyo unakuwa umeishusha Tanzania kiuchumi na Hivyo kuidhoofisha kiuchumi na hata kiusalama.Hivyo lazima watu wetu wa vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama viwe kazini muda na wakati wote kuhakikisha kuwa Bandari yetu Ni salama na haupenyezwi mkono wowote katika kujaribu kuihujumu.

Hivyo napenda kuwaambia watanzania wenzangu kuwa zipuuzeni taarifa za upotoshaji zinazoenezwa na watu wenye maslahi yao binafsi, Rais wetu pamoja na wasaidizi wake hawawezi wakaichezea Bandari yetu.Sote tunatambua uzalendo wa Rais wetu kwa Taifa letu na nchi yetu,ndio maana mh Rais ameteua na kuwa na washauri wabobezi na nguli katika nyanja zote waliomzunguka katika kumpatia ushauri wa kitaalamu kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Rai yangu kwa wateule hasa mawaziri wote,Ni kuhakikisha kuwa wanakuwa wepesi kutoa ufafanuzi hadharani pale Jambo fulani linapokuwa limeleta sintofahamu katika jamii,lazima wawe wepesi wa kutoa maelezo ya kina yasiyo acha mashimo kwa wapotoshaji,kwa kufanya hivyo itasaidia kuzuia upotoshaji unaokuwa unaendelea na kuwachanganya na kuwapa hofu watanzania.kila mmoja kwa nafasi yake anapoona Wizara Yake imeguswa Ni lazima kutoka hadharani kutoa majibu,huo ndio uongozi,huo ndio utendaji,huo ndio uungwana na hiyo ndio njia ya kuliweka Taifa katika Hali ya utulivu na Amani.

Nawaombeni Sana viongozi wa serikali kufanya hivyo Kama ambavyo mh Rais amekuwa akiwasisitiza hadharani juu ya Jambo hili,msikae tu ofisini mpaka mkumbushwe na mh Rais au mpaka mambo yawe yamepotoshwa mpaka watu waanze kuamini upotoshaji kuwa Ni ukweli,fanyeni hivi kwa mambo yote katika kutoa ufafanuzi kwa wananchi ili kuziba mianya yote ya upotoshaji.

Elezeni kwa kina ,kwa vielelezo na Nyaraka muhimu katika kuwasilisha hoja zenu za ufafanuzi ,maana Rais wetu Ni muwazi na mwenye dhamira njema katika kuliongoza Taifa letu. Taarifa Zina nguvu na ili uwe na nguvu ni lazima uwe na Taarifa muhimu, wapeni Taarifa watanzania pale panapohitajika ili wengi waisemee serikali yetu kwa kurejea ufafanuzi wa serikali zidi ya wapotoshaji wachache.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Tanzania umekuwa shamba la bibi kwa sababu ya fikra potofu za utendaji katika vyombo vya dola (hasa ulinzi na usalama).
By default, vyombo hivi vimejengeka katika msingi wa kutii amri bila kuchanganya na akili za kwao.

Matokeo yake ni wageni kuwa huru kufanya chochote huku vyombo hivyo vikihangaika kudhibiti wazawa au raia wa asili. Zaidi sana nguvu zao nyingi huelekezwa kudhibiti upinzani wa kisiasa wa ndani badala ya adui au mpinzani wa kweli wa kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni kutoka nje.

Msingi wa umasikini wa taifa umejengeka hapo.

Wakombozi wa uhakika wa taifa kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni ni vyombo hivyo. Vyahitaji kujirekekebisha pamoja na kazi nzuri kwenye maeneo mengine.
 
We Mluga luga unatuchosha tu na migazeti yako mireefu wakati huna unalolijua.
We unatafuta nitoke vp...baasi. Nchi inauzwa na genge la wahuni we unaendekeza njaa zako ebo, kuwa mzalendo...pale kijijini kwenu hauko peke yako!.
Nchi yetu haiwezi kuuzwa maana tunaye Rais Samia mbele yetu Kama Taifa ambaye ametukuka kiuzalendo
 
Tanzania umekuwa shamba la bibi kwa sababu ya fikra potofu za utendaji katika vyombo vya dola (hasa ulinzi na usalama).
By default, vyombo hivi vimejengeka katika msingi wa kutii amri bila kuchanganya na akili za kwao.
Matokeo yake ni wageni kuwa huru kufanya chochote huku vyombo hivyo vikihangaika kudhibiti wazawa au raia wa asili. Zaidi sana nguvu zao nyingi huelekezwa kudhibiti upinzani wa kisiasa wa ndani badala ya adui au mpinzani wa kweli wa kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni kutoka nje.
Msingi wa umasikini wa taifa umejengeka hapo.
Wakombozi wa uhakika wa taifa kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni ni vyombo hivyo. Vyahitaji kujirekekebisha pamoja na kazi nzuri kwenye maeneo mengine.
Vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama no lazima vipongezwe na kutiwa moyo kwa kazi kubwa na ya kizalendo ambayo vimekuwa vikifanya katika kulipigania Taifa letu kwa jasho na Damu,tupo hapa kiutulivu na kiusalama Kama Taifa kwa kuwa tuna vyombo vya Ulinzi na usalama vilivyo imara na madhubuti
 
Nchi yetu haiwezi kuuzwa maana tunaye Rais Samia mbele yetu Kama Taifa ambaye ametukuka kiuzalendo
Tuna wasi wasi NAYE SIYE WADANGANYIKA. Matozo, mikopo, kutowashughulikia wezi tokana na ripoti ya CAG, twamuona akiishi kama MALKIA bila kuwa na meno ya kung'ata wababaishaji, wezi, wanaovurunda kazi, ulindaji wake wa rasilimali na maliasili hasa za TANGANYIKA, KATIBA, the list is endless.
WADANGANYIKA tuko salama kweli na huyu BIBIE????!!!!😩😣🤔😠😡🤬
 
Wewe sijui unakula na kulala wapi?

Uko kama toto la Mwisho kwenye Familia ya Samia.
 
Ndugu zangu watanzania,

Napenda kuwataarifu ya kuwa serikali ya Rais Samia Inatambua Umuhimu na upekee wa Bandari yetu ya Dar es salaam,Inatambua kuwa bandari hiyo ndio moyo wa uchumi wetu,ndio mboni ya Taifa letu kiuchumi,ndio Uti wa mgongo wa mapato yetu,ndio usalama wetu wa Taifa kiuchumi,ndio jeuri yetu,ndio Tamanio la mataifa jirani,ndio kila kitu kwetu watanzania Kama Taifa.

Serikali ya Rais Samia inafahamu kuwa ukiichezea na kuitelekeza bandari hiyo Ni sawa na kuuchezea uchumi wetu na Taifa letu,inafahamu ya kuwa ukiihujumu au kuitikisa au kuitoa kafara au kuishusha au kutoipa jicho la umakini Ni sawa na kuhujumu uchumi wa Taifa letu,Ni sawa na kuiangamiza nchi Na Taifa letu.

Bandari ya Dar es alaam Ni mahali ambapo vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama kuanzia JWTZ ,TISS na POLICE lazima vielekeze macho ,masikio na hisia zao zote pale Bandarini,Ni lazima pajae na Kufurika majasusi wetu kila eneo walioapa kwa viapo vikali vya kutoa jasho na Damu kuipigania na kuifia nchi na Taifa letu pale itakapo bidi katika kulitetea Taifa letu na watu wake.Ni mahali ambapo vyombo vyetu havipaswi kulala hata sekunde moja pasipo kujuwa au kuwa na taarifa juu ya Nini kimeingia nchini au kinatoka nchini kupitia bandari yetu,vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua bandari yetu ikihujumiwa ni sawa na kulihujumu na kuliangamiza Taifa letu kiuchumi na kuhatarisha usalama wa Taifa letu pendwa.

Vyombo vyetu vya Ulinzi vinatambua kuwa hata majirani zetu wanaitazama bandari yetu kwa jicho la wivu mkubwa Sana na la Vita ya kijasusi katika uchumi ,kwa kutambua kuwa ukiishusha bandari hiyo unakuwa umeishusha Tanzania kiuchumi na Hivyo kuidhoofisha kiuchumi na hata kiusalama.Hivyo lazima watu wetu wa vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama viwe kazini muda na wakati wote kuhakikisha kuwa Bandari yetu Ni salama na haupenyezwi mkono wowote katika kujaribu kuihujumu.

Hivyo napenda kuwaambia watanzania wenzangu kuwa zipuuzeni taarifa za upotoshaji zinazoenezwa na watu wenye maslahi yao binafsi, Rais wetu pamoja na wasaidizi wake hawawezi wakaichezea Bandari yetu.Sote tunatambua uzalendo wa Rais wetu kwa Taifa letu na nchi yetu,ndio maana mh Rais ameteua na kuwa na washauri wabobezi na nguli katika nyanja zote waliomzunguka katika kumpatia ushauri wa kitaalamu kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Rai yangu kwa wateule hasa mawaziri wote,Ni kuhakikisha kuwa wanakuwa wepesi kutoa ufafanuzi hadharani pale Jambo fulani linapokuwa limeleta sintofahamu katika jamii,lazima wawe wepesi wa kutoa maelezo ya kina yasiyo acha mashimo kwa wapotoshaji,kwa kufanya hivyo itasaidia kuzuia upotoshaji unaokuwa unaendelea na kuwachanganya na kuwapa hofu watanzania.kila mmoja kwa nafasi yake anapoona Wizara Yake imeguswa Ni lazima kutoka hadharani kutoa majibu,huo ndio uongozi,huo ndio utendaji,huo ndio uungwana na hiyo ndio njia ya kuliweka Taifa katika Hali ya utulivu na Amani.

Nawaombeni Sana viongozi wa serikali kufanya hivyo Kama ambavyo mh Rais amekuwa akiwasisitiza hadharani juu ya Jambo hili,msikae tu ofisini mpaka mkumbushwe na mh Rais au mpaka mambo yawe yamepotoshwa mpaka watu waanze kuamini upotoshaji kuwa Ni ukweli,fanyeni hivi kwa mambo yote katika kutoa ufafanuzi kwa wananchi ili kuziba mianya yote ya upotoshaji.

Elezeni kwa kina ,kwa vielelezo na Nyaraka muhimu katika kuwasilisha hoja zenu za ufafanuzi ,maana Rais wetu Ni muwazi na mwenye dhamira njema katika kuliongoza Taifa letu. Taarifa Zina nguvu na ili uwe na nguvu ni lazima uwe na Taarifa muhimu, wapeni Taarifa watanzania pale panapohitajika ili wengi waisemee serikali yetu kwa kurejea ufafanuzi wa serikali zidi ya wapotoshaji wachache.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Hii mihemko yenu vijana ya kuropokaropoka vitu kisa wewe ni kada sio mizuri.

Sasa wewe unaisemea serikali sijui bandari kama nani maana hakuna maelezo rasmi yaliyotolewa hadi sasa.
 
Vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama no lazima vipongezwe na kutiwa moyo kwa kazi kubwa na ya kizalendo ambayo vimekuwa vikifanya katika kulipigania Taifa letu kwa jasho na Damu,tupo hapa kiutulivu na kiusalama Kama Taifa kwa kuwa tuna vyombo vya Ulinzi na usalama vilivyo imara na madhubuti
Tunavipongeza katika kuweka Amani na utulivu, hilo halina shaka hata kidogo.
Hata hivyo, kwenye kudhibiti wageni kufanya nchi yetu shamba la bibi, vinahitaji maboresho.
 
Washkaji wako bize, hawana habari na kinachoendelea, utasikia hayo mambo ya siasa hayanihusu waachie wenyewe kwani mimi yananisaidia nini, hayanisaidii chochote, kwani wao ndio wananiletea ugali nyumbani kwangu? achana nayo kabisa hayo mambo ya siasa, utapotea, huku umaskini ukimwandama bila kujua siasa ndio kila kitu katika maisha yetu ya kila siku.
 
Itikadi na sera ya ccm ni kujali maslahi ya umma na kuhakikisha usawa wa kijamii na uchumi. Huu ndio msingi wa amani ya tanzania.

Tangu ameingia madarakani rais samia na kupewa uenyekiti wa ccm wananchi wamekua wakinusa harafu ya sera za kibinafsi na kutaka kugeuza muelekeo wa taifa kwenye ubepari mkali wa kuambatana na kudhulumu wanyonge.

Kitendo cha kuwekeana sahihi na falme za kiarabu kutaka kuwakabidhi bandari zote za nchi kwa masharti sawa na kuwapa kumiliki wao kinastaajabisha. Masharti aliyoweka sahihi waziri mbarawa mengi yanakiuka sheria hadi kutakiwa nchi kubadili sheria zake. Nini maana ya sheria ikiwa kila rais akiingia anata abadili sheria za nchi ili kuleta wawekezaji wake.

Awamu ya tano tumebadili sheria za uwekezaji ili kulinda maslahi ya nchi. Bahati mbaya rais aliyeingia madarakani kwa ridhaa kubwa ya wananchi akafariki dunia kwenye mazingira hadi sasa wananchi hawaamini halafu anakuja mtu anasema analifungua taifa na kutaka kugeuza mambo ya msingi yote mtangulizi wake amefanya.

Tunawaomba wabunge wanapojadili uwekezaji huu wa falme za kiarabu kuzingatia sheria zilizopo na kuepuka lolote linalotaka kubadilishwa sheria kwa matakwa ya muwekezaji. Lazima kuzingatia tanzania sio nchi inayouza bandari. Kama kuna mtu anataka kununua bandari aangalie kwingine.

Nchi inawekeza pakubwa sana kwenye miundombinu ya reli na bandari zake. Suala la kuendesha bandari ni mambo ya taaluma na weledi na haliwezi kua lina hati miliki kwa wazungu au waarabu. Watanzania tunaweza kinachotakiwa ni utashi wa kisiasa tu. Wala sio kweli bandari yetu ya dar es salaam inafanya vibaya. Kuna hila tu ya wajanja kufaidi wao kutokana na uwekezaji mkubwa unaofanyika kwa gharama ya umma.
 
Itikadi na sera ya ccm ni kujali maslahi ya umma na kuhakikisha usawa wa kijamii na uchumi.
Tangu ameingia madarakani rais samia na kupewa uenyekiti wa ccm wananchi wamekua wakinusa harafu ya sera za kibinafsi na kutaka kugeuza muelekeo wa taifa kwenye ubepari mkali wa kuambatana na kudhulumu wanyonge.
Kitendo cha kuwekeana sahihi na falme za kiarabu kutaka kuwakabidhi bandari zote za nchi kwa masharti sawa na kuwapa kumiliki wao kinastaajabisha. Masharti aliyoweka sahihi waziri mbarawa mengi yanakiuka sheria hadi kutakiwa nchi kubali sheria zake. Nini maana ya sheria ikiwa kila rais akiingia anata abadili sheria za nchi ili kuleta wawekezaji wake.
Awamu ya tano tumebadili sheria za uwekezsji ili kulinda maslahi ya nchi. Bahati mbaya rais aliyeingia madarakani kwa ridhaa kubwa ya wananchi akafariki dunia kwenye mazingira hadi sasa wananchi hawaamini halafu anakuja mtu anatasema analifungua taifa na kutaka kugeuza mambo ya msingi yote mtangulizi wake amefanya.
Tunawaomba wabunge wanapojadili uwekezaji huu wa falme za kiarabu kuzingatia sheria zilizopo na kuepuka lolote linalotaka kubadilishwa sheria kwa matakwa ya muwekezaji.
Lazima kuzingatia tanzania sio nchi inayouza bandari. Kama kuna mtu anataka kununua bandari aangalie kwingine.
Wewe ndio ulikuwa unapiga Kampeni 2020? Au baba Yako ndio alikuwa mgombea mwenza?

Maslahi ya watu binafsi ni yapi na ya nyie Wananchi ni yapi?
 
Back
Top Bottom