Waungwana hii sasa ni too much. Zile tetesi tulizoletewa hapa kwamba huenda mishahara ya miezi ya January na February itakuwa mgogoro sasa ni dhahiri. Mpaka muda huu kuna halmashauri hazijalipa mishahara kwa watumishi wake wengi wao wakiwa ni walimu ambao tumezoea kuona wakiwa kwenye foleni za NMB kuanzia tarehe 23.
Majibu ya kila halmashauri ni kuwa hazina haijatoa pesa kwa kipindi husika. Aidha kuna malalamiko kilakona juu ya kuchakachukliwa kwa waajiriwa wapya wa serikaliwengine toka Julai na walimu wapya wa juzi tu hawajalipwa subsistence allowance zao kwa kuwa hazina ambayo imekuwa ikisisitiza eti haitaki madeni safari hii imezikwamisha halmashauri nyingi.
Baadhi ya halmshauri zimejitahidi kuchakachua posho za walimu wake kwa kuwalipa 35000/= walimu graduate ambao wanatakiwa kupata 45000/=/65000/= per diem. Aidha wengine wamelipwa siku 3 hadi 5 badala ya 14 kama inavyostahili. Je hii ndio serikali inayojinasibu kwamba itamaliza matatizo ya watumishi? Je kwa mtindo huu wiwki ijayo kuna mtumishi atafanya kazi kwa bidii wakti salio halisomi sawaswa? Huu ni usanii mtupu na kwa hakina haya ni "maafa"
Majibu ya kila halmashauri ni kuwa hazina haijatoa pesa kwa kipindi husika. Aidha kuna malalamiko kilakona juu ya kuchakachukliwa kwa waajiriwa wapya wa serikaliwengine toka Julai na walimu wapya wa juzi tu hawajalipwa subsistence allowance zao kwa kuwa hazina ambayo imekuwa ikisisitiza eti haitaki madeni safari hii imezikwamisha halmashauri nyingi.
Baadhi ya halmshauri zimejitahidi kuchakachua posho za walimu wake kwa kuwalipa 35000/= walimu graduate ambao wanatakiwa kupata 45000/=/65000/= per diem. Aidha wengine wamelipwa siku 3 hadi 5 badala ya 14 kama inavyostahili. Je hii ndio serikali inayojinasibu kwamba itamaliza matatizo ya watumishi? Je kwa mtindo huu wiwki ijayo kuna mtumishi atafanya kazi kwa bidii wakti salio halisomi sawaswa? Huu ni usanii mtupu na kwa hakina haya ni "maafa"