chishango
JF-Expert Member
- Feb 20, 2009
- 852
- 350
Wadau wakati huu halmashauri zote nchini zipo Dar es salaam kuwasilisha mipango ya bajeti ya 2013/14 lakini cha ajabu ni kwamba fedha za utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa mwaka 2012/13 hazijaletwa wilayani hata senti moja yaani tunaandaa bajeti mpya wakati iliyopita haijatekelezwa na hii ni robo ya tatu ya mwaka wa fedha nashangaa sana alafu waziri wa fedha anajinadi bungeni kuwa uchumi unakwenda vizuri......kwa kweli tunaelekea kubaya wananchi wenzangu