Chris Lukosi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 4,581
- 2,937
Ndugu zanguni
Nimefuatilia mkutano wa CCM Morogoro leo na nikalinganisha na uchaguzi wa madiwani mwisho mwa mwaka jana na nikapatwa na hofu kubwa sana kuwa kama tusipoanza kuwaeleimisha vijana wenzetu wanaorubuniwa na Chadema sasa basi ifikapo mwaka 2015 baada ya ushindi mkubwa wa CCM kutatokea mlipuko mkubwa wa vijana wengi kujinyonga na kujirusha kutoka ghorofa ya kwanza.
Ni jukumu la serikali kujiandaa na majanga makubwa kama mafuriko, matetemeko, kipindu pindu nk. Hivyo basi kwa hili serikali inabidi ijiandae zaidi ya hapo kwani vijana wengi wameisha kuwa brainwashed wameacha maisha yao na kazi zao zinazowapatia mkate wa kila siku matokeo yake wanasubiri 2015 wapewe ukuu wa wilaya nk. Wengine wametoa hadi savings zao wakiamini kuwa ikifika 2015 wataula.
Ninaomba serikali yetu tukufu iliangalie kwa karibu suala hili kwani vijana wengi watakuwa wamekata tamaa kabisa ya kuishi na inaweza kusababisha tukapoteza nguvu nyingi sana ya taifa letu kuliko hata tulivyowahi kupoteza kwenye magonjwa ya milipuko.
Serikali ianzishe huduma kama hii hapa chini
JITAMBUE
Nimefuatilia mkutano wa CCM Morogoro leo na nikalinganisha na uchaguzi wa madiwani mwisho mwa mwaka jana na nikapatwa na hofu kubwa sana kuwa kama tusipoanza kuwaeleimisha vijana wenzetu wanaorubuniwa na Chadema sasa basi ifikapo mwaka 2015 baada ya ushindi mkubwa wa CCM kutatokea mlipuko mkubwa wa vijana wengi kujinyonga na kujirusha kutoka ghorofa ya kwanza.
Ni jukumu la serikali kujiandaa na majanga makubwa kama mafuriko, matetemeko, kipindu pindu nk. Hivyo basi kwa hili serikali inabidi ijiandae zaidi ya hapo kwani vijana wengi wameisha kuwa brainwashed wameacha maisha yao na kazi zao zinazowapatia mkate wa kila siku matokeo yake wanasubiri 2015 wapewe ukuu wa wilaya nk. Wengine wametoa hadi savings zao wakiamini kuwa ikifika 2015 wataula.
Ninaomba serikali yetu tukufu iliangalie kwa karibu suala hili kwani vijana wengi watakuwa wamekata tamaa kabisa ya kuishi na inaweza kusababisha tukapoteza nguvu nyingi sana ya taifa letu kuliko hata tulivyowahi kupoteza kwenye magonjwa ya milipuko.
Serikali ianzishe huduma kama hii hapa chini
JITAMBUE