Ni miezi sasa shule hazijapata ruzuku za elimu bila malipo. Kama walivyokiri kukosea kuweka hq ya mwendokasi jangwani na huku kwenye elimu bure wakiri kwamba hawakujipanga, warudishe utaratibu uliokuwepo kabla hawajaivaa sera ya Mzee Lowasa kuliko kuzalisha madeni ambayo wakuu wa shule wanahangaika nayo.