LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,457
Wanakushika tumboni wanabinyabinya hivii,arrgh so annoying.. Af ss mtu ambae sio mjamzito inakua km anakutekenya hv bas unacheka with discomfort, na kama una kamsitu unaambiwa ukaukateSijaelewa wanapimaje kwa mikono!! Wanaingiza mikono kule au?! Naomba kueleweshwa.