Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,371
- 6,502
Jaman mnaboa Mnao quote story nzima jieshimun bas
Unaonaje ukimwambia aliyeweka hiyo function ndio ajiheshimu.
Jaman mnaboa Mnao quote story nzima jieshimun bas
Mtoto kazaliwa halafu mnamfunga baba yake miaka 30? Mnakuwa na huruma kwa binti aliyebeba mimba lakini hakuna huruma kwa mtoto anayezaliwa ambaye kimsingi hana kosa lolote. Miaka 30 mnaifahamu au mlikurupuka? Nani atamlea mtoto huyo? Pili kama binti anarudi masomoni baada ya kujifungua, kosa la aliyempa mimba linakuwaje, yaani na uzito gani? Leo mnifahamishe, hivi kumbe kubeba mimba si kosa, kosa ni kuweka mimba? Je, wakipeana mimba watoto wa umri mdogo, wa kike na kiume inakuwaje????
Mtoto kazaliwa halafu mnamfunga baba yake miaka 30? Mnakuwa na huruma kwa binti aliyebeba mimba lakini hakuna huruma kwa mtoto anayezaliwa ambaye kimsingi hana kosa lolote. Miaka 30 mnaifahamu au mlikurupuka? Nani atamlea mtoto huyo? Pili kama binti anarudi masomoni baada ya kujifungua, kosa la aliyempa mimba linakuwaje, yaani na uzito gani? Leo mnifahamishe, hivi kumbe kubeba mimba si kosa, kosa ni kuweka mimba? Je, wakipeana mimba watoto wa umri mdogo, wa kike na kiume inakuwaje????
Kuna haja ya kubadili shelia kwani hiyo ya viboko imepitwa na wakati nadhani ni maonitu mm binafsi adhabu zimekuwa malanyi zina waangukia wanaume tu nadhani kama mwanaume na mwanamke wakiadhbiwa wate basi tatizo lita punguasheria za wanadamu ni dhaifu.
Mzinifu mwanaume na mzinifu mwanamke wachapwe viboko mia moja kila mmoja bila huruma.
Tatizo watu mnafanya biashara za magesti na mabaa.
Kwa hiyo adhabu mbadala ya viboko iwe nini?Kuna haja ya kubadili shelia kwani hiyo ya viboko imepitwa na wakati nadhani ni maonitu mm binafsi adhabu zimekuwa malanyi zina waangukia wanaume tu nadhani kama mwanaume na mwanamke wakiadhbiwa wate basi tatizo lita pungua
Ngoja nitafute kipimo binafsi cha bikra special kwa wanaonihusu tu.
Sipati picha toto lako litakavyotoa kwa machiz
kurudishwa watoto wa kike nyumbani kisa mimba ni kumnyima mtoto haki yake ya elimu,, kwa nn msichana asizae alafu aruhusiwe kuendelea na masomo??Hahaha periodic pregnancy testing imenikumbusha kipindi nasoma shule flani hivi walikua wanatukurupua tu kila baada ya miezi kadhaa wanatupima ujauzito kwa mikono,wapo baadhi ya mabinti waligundulika kwa style hio wakarudishwa nyumbani mara moja,
sisi ni wanyama muda wa mimba umepagwa na MUUmbajiSipati picha toto lako litakavyotoa kwa machiz
Hahaha periodic pregnancy testing imenikumbusha kipindi nasoma shule flani hivi walikua wanatukurupua tu kila baada ya miezi kadhaa wanatupima ujauzito kwa mikono,wapo baadhi ya mabinti waligundulika kwa style hio wakarudishwa nyumbani mara moja,