VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Bajeti gani itengenezwe na kusimamiwa na vikundi vinne tofauti? Kwanza ilianza na Wizara ya Fedha chini ya Waziri Dr.William Mgimwa. Pili,Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Fedha na Uchumi.Tatu,Kamati Maalum ya Wabunge wa CCM.Na nne,jana Waziri Mkuu ameunda Kamati Maalum ya Mawaziri 'kuitengeneza' bajeti hiyohiyo.This is too much.It is absurd!(na sifuti kauli yangu)
Serikali gani sikivu ingefanya jitihada kama hizi za kuhakikisha Bajeti mbovu inapita? Kama kitu kina kasoro,si kitolewe kikarekebishwe kwanza Wizarani? Serikali iache kutapatapa na kuendelea kutapanya fedha za umma kwa Kamati zisizo na tija. Bajeti ni mbovu na iondolewe Bungeni ikatengenezwe upya...
Serikali gani sikivu ingefanya jitihada kama hizi za kuhakikisha Bajeti mbovu inapita? Kama kitu kina kasoro,si kitolewe kikarekebishwe kwanza Wizarani? Serikali iache kutapatapa na kuendelea kutapanya fedha za umma kwa Kamati zisizo na tija. Bajeti ni mbovu na iondolewe Bungeni ikatengenezwe upya...